Nahitaji kiwanja Tanga City

Nahitaji kiwanja Tanga City

gambagumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
2,341
Reaction score
3,166
Kutokana na kuongezeka umuhimu kwa Jiji LA Tanga nimeamua kuwekeza huko kwa kufanya ujenzi wa nnyumba ila nimetaadharishwa kuwa migogoro ya viwanja ni mingi sana kutona na watumishi wa idara ya arthi na viongozi wa vijiji kuendekeza tamaa, naomba kwenye kiwanja surveyed ake p.m, nitafurahi zaid kama kiwanja nitakua maeneo ya kange.
Budget yangu ni m5-m8, nawasilisha.
 
Na mm nahitaji Kange au PONGWE (Sqmt 800-1200) budget 5M-6M

Njoo PM
 
na mimi nahitaji 700-800 sqm..... budget 4.5m tanga mjini sehemu yoyote....

pm plz
 
Back
Top Bottom