Tshs. 250 ukinunulia site, ukitaka kusafirishiwa tunaangalia na umbali toka tofali zilipo. Kiuhakika nyumba za tofari choma ni imara na nzuri sana japo siku hizi watu wamezibukia hizi tofari za block zisizokuwa na kiwango.Sh ngapi kwa kila moja?
kama umeelewa kinachotangazwa hakuna shida, kama hujaelewa tafadhali uliza ujibiwe, hapa sio jukwaa la kiswahili, hapa ni jukwaa la matangazo madogo madogo,jamani mbona tunaharibu lugha? sijui tumtafute prof. Mulokozi awe anaedit kwanza maana hamna neno ....TOFARI....labda kama unaongelea kitu kingine
Unataka mzigo au umekuja kufanya editing?lakini unapotoa tangazo kama hilo lazima tena ukijua linasomwa na karibia dunia nzima maana JF ipo kila mahali ni lazima ujiridhishe, mbona sisi kiingereza tunajifunza lakini tunakuwa makini kabla ya kukiandika, tafadhali badilika
Soma vizuri mkuu .. KWA WAKAZI WA JIJINI MWANZA WANAOHITAJI TOFARI CHOMA, TUWASILIANE ...
Na hapo kwenye BEI RAISI= BEI RAHISI ila usishangae sana mkuu watu wengi sana wanapata tabu ya kuandika haya maneno ya lugha yetu adhimu ya kiswahili.jamani mbona tunaharibu lugha? sijui tumtafute prof. Mulokozi awe anaedit kwanza maana hamna neno ....TOFARI....labda kama unaongelea kitu kingine