Msaada wadau natafta mashine

JACKBIZZO

Member
Jul 11, 2013
83
12
Habari wanajamvi nataka kununua mashine ya mbao inaitwa ( lumber pro 48",) imetengenezwa na cleereman industries. Lakini tangu mwezi jana nimetafta njia yeyote imeshindikana na e mail hazijawahi kujibiwa. Kwa yeyote anaweza nisaidia tafadhari naomba tusaidiane katika hili.
Mashine kama hiyo nime iatach
Phone; +255768181757
E-mail; luwumba2013@gmail.com
 

Attachments

  • 20160716131809.jpg
    20160716131809.jpg
    13.2 KB · Views: 24
Kama iko kosa kate kula hogo bana!!!
In govinda's tone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom