Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza nyumba ml 5 IPO nzuguni dodoma kiwanja ukubwa 23/25
0 Reactions
2 Replies
777 Views
Nauzwa Samsung Tablet 4 used Iko katika hali nzuri Bei 300,000 maelewano yapo pia Mawasiliano 0715933419
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Toyota Passo 4 piston 1297 cc model ya 2005 ya silver.. Attached with pics.. 6M.. Ni yangu Binafsi.. Kwa details zaidi contacts 0714724244
0 Reactions
5 Replies
4K Views
SERVICE PROVIDED by First Security Co LTD Our Security Officers are selected, trained and equipped for a variety of environments and situations, our policy is to use only long serving guards who...
0 Reactions
0 Replies
647 Views
communicate with 0785549057 for how in detail
0 Reactions
2 Replies
850 Views
Kwa anaeitaji chumba cha biashara siku ya nanenane anitafute. Chumba kipo sehemu nzuri sana kinafaa kwa biashara zote. 0767 425555
2 Reactions
2 Replies
1K Views
MSAADA WANA JF...NINA SHIDA NA ZILE MASHINE ZA JUX BOX NA MASHINE ZA KUCHEZESHEA MICHEZO YA KUBAHATISHA MWENYE KUNISAIDIA TAFADHARI MAENEO ZINAPOPATIKANA
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Nauza vifaa vya Toshiba kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kwa namba 0687957579
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Katika pitapita yangu nimesikia kwamba matukio mengi ya kihalifu kama wizi kwa kiasi kikubwa walinzi wanashiriki aidha kwa kudhamiria au kutoa taarifa pasipo kujua. Hivyo kwa makusudi nikaamua...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
1. Kiwe na hati 2. Ukubwa kuanzia square metre 1200 au zaidi 3. (light industrial) Kinachofaa kwa matumizi ya kujenga factory kwa ajili ya furniture na metal drill works 4. Bei maelewano...
0 Reactions
1 Replies
808 Views
Kuna mzigo nataka kuutuma Katavi nipo dsm msaada wa usafiri gani nitumie
0 Reactions
5 Replies
954 Views
Nipo Dar kama una mtungi mdogo wa gesi wa kilo 6 ule wa kupikia na kama huutumii niuzie, bei makubaliano PM plz
1 Reactions
2 Replies
948 Views
Nyumba inauzwa self ya vyumba itatu ina uzio wa tofali na keti pamoja na parking maeneo ya sombetini Bei inaanzia 55m maelewano yapo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za mchana wadau natumaini mpo poa... jaman naitaji king'amuzi cha azam TV kilichotumika wadau mwenye nacho naomba tuwasiliane kwa namba 0658038038... niko Dar
0 Reactions
3 Replies
836 Views
Habar wadau , Naomba kujua wapi nitaweza kupata huduma ya kudarizi/kutengeneza logo , ila sitaki za kuprint kwa rangi.. Na Pia naomba kujua gharama za kuprint logo 1 kwa shati NB: nahitaji...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni gateway desktop computer.. nmeona niiuze kwa bei ya hasara tu maana nna shida na hela. HDD 1000 GB (1TB) ,RAM GB 6 ,CORE i3,Touch screen, Wireless Keyboard n mouse. nicheki now kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
halotel kwasasa ndo mtandao unaondena na maisha ya watanzania...vifurushi vyao vinaridhisha siyo vya kinyonyaji kama vya mitandao mingine... kwale wenzangu na mimi tunaotumia mtandao wa vodacom...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Shamba lipo mkoa wa pwan wilaya ya kisarawe sehem moja inaitwa mtamba karibia na kwa mzungu gar linafika had shamban, Contact; 0656 698232
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Waungwana siku si nyingi nitakuwa safarini KASULU, naomba nifahamishwe guests house lodges za hazi ya Kati za gharama kati ya 15-25. Natanguliza shukrani. Zamaulid
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta kuku kuchi pure wapi nitawapata kiurahisi?
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…