Nauza wallets za ngozi,, za kike na kiume nipo dar,, ni wallet nzur za kisasa,, wahi sasa mawasiliano ni 0688121308,follow account yetu ya instagram Follow@bestlleatherwallets
Habari zenu, kwa wale wazoefu tafadhali naomba msaada wa maelekezo kuhusu utaratibu muhimu wa kufata katika ununuzi wa nyumba, Maana hali ilivyo kwasasa naweza nikaingia katika mikono ya matapeli...
Ipo -Dar es salaam Tz
Mahali-Kimara Baruti via morogoro road
--------------------------------
Ukubwa wa Kiwanja -
Nyaraka za umiliki Ina-mkataba wa mauziano Toka serikali za mtaa...
Habar Wanajamv Nauza Dslr Yangu hiyo Canon D1200 kwa 1.2M Ni mpya bado ina chager na lens 2 km unavyoiona!!! kama unahitaji njoo whatsapp au nipigie 0712988560
Nyumba inauzwa ipo sinza vatican
30m kutoka barabara ya tandale
100m kutoka shekilango road
4 bedrooms
1 master
Sitting room
Eneo la parking
20*30
Price 160M.
Kwa picha niPM namba yako nkuchek...
Habari wana janvi,
Natafuta mteja wa kununua miti pamoja na ardhi
Miti ipo Njombe aina ya PINE
Ni heka 5
Bei 15,000,000
Miti ina miaka 6
Mawasiliano 0755238761
Habari wanaJF, natoa koza ya kutengeneza website, mtu (wanafunzi ) yoyote ata kama ajasoma IT ila anajua kutumia komputa nakuakikshia ukimaliza koza hii unatengeneza website yako na kumiliki...
Habari wana janvi,
Natafuta wateja wa kununua miti pamoja na Ardhi.
Miti ni aina ya PINE na ni heka 5
Inapatika mkoani Njombe
Bei 15,000,000 kwa heka zote 5.
Miti ina mwiaka sita (6 years)...
SAA MPYA AINA YA SEIKO 5 NAIWEKA SOKONI
Ni saa zaidi ya saa, haingii maji, unaweza kuogea kwenye swimming pool au baharini, ni saa inayodumu miaka na miaka, ni saa imara sana.
BEI: Tshs. 350,000...
Habari wadau, wasiliana nasi kupitia pawahost dot com kwa huduma zifuatazo:-
1. Computer system development
2. Android application development
3. website designing and development kwa Tsh...
Sasa udongo wetu Aunt Zainab's Natural Super Clay unapatikana Kimara - Mbezi - Ubungo .
Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote na moja ya matumizi ni kama liwa lakini una ubora zaidi...
Wandugu!
Kuna yeyote anajua wapi naweza kukodisha marine board kwa bei nzuri.
Na wanakodisha kwa bei gani..? Nataka kama sqm 100 hivi.
Pia Mirunda kama ipo pia naomba contact nayo ningependelea...
Ukubwa ni 20 kwa 20 kwa kila kimoja bei ni mil 10 kwa kila kimoja maongezi yapo kiwanja kipo tambalale vyote vipo sehemu moja...Vinaangaliana na barabara ya mtaa.....Umeme upo hapohapo karibu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.