Tunzo JF-Expert Member Joined Feb 1, 2013 Posts 4,125 Reaction score 2,449 Jul 27, 2016 #1 Nipo Dar kama una mtungi mdogo wa gesi wa kilo 6 ule wa kupikia na kama huutumii niuzie, bei makubaliano PM plz
Nipo Dar kama una mtungi mdogo wa gesi wa kilo 6 ule wa kupikia na kama huutumii niuzie, bei makubaliano PM plz
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,732 Reaction score 6,631 Jul 28, 2016 #2 Tunzo said: Nipo Dar kama una mtungi mdogo wa gesi wa kilo 6 ule wa kupikia na kama huutumii niuzie, bei makubaliano PM plz Click to expand... Mbona madukani ukiwa na gesi yake na bunner yake inapatikana kwa sh 60,000 tu?, jamani kila kitu kitonga?
Tunzo said: Nipo Dar kama una mtungi mdogo wa gesi wa kilo 6 ule wa kupikia na kama huutumii niuzie, bei makubaliano PM plz Click to expand... Mbona madukani ukiwa na gesi yake na bunner yake inapatikana kwa sh 60,000 tu?, jamani kila kitu kitonga?
Tunzo JF-Expert Member Joined Feb 1, 2013 Posts 4,125 Reaction score 2,449 Jul 28, 2016 Thread starter #3 Jephta2003 said: Mbona madukani ukiwa na gesi yake na bunner yake inapatikana kwa sh 60,000 tu?, jamani kila kitu kitonga? Click to expand... Mkuu hata humu pia vipo! Kama huna unatulia tu! Hujawahi kuona watu humu wanatangaza? Ndo mana tupo humu
Jephta2003 said: Mbona madukani ukiwa na gesi yake na bunner yake inapatikana kwa sh 60,000 tu?, jamani kila kitu kitonga? Click to expand... Mkuu hata humu pia vipo! Kama huna unatulia tu! Hujawahi kuona watu humu wanatangaza? Ndo mana tupo humu