WATANZANIA tuhamie HALOTEL

WATANZANIA tuhamie HALOTEL

365

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
1,377
Reaction score
1,460
halotel kwasasa ndo mtandao unaondena na maisha ya watanzania...vifurushi vyao vinaridhisha siyo vya kinyonyaji kama vya mitandao mingine...

kwale wenzangu na mimi tunaotumia mtandao wa vodacom tujitathimini upya kwani nahisi kama tunanyonywa zaidi.kwa ufupi vodacom ni ile ile..tumeipenda wenyewe acha tuisome namba...ila mimi nahamia Halotel kuanzia leo
 
Wajanja tuu hao wanavuta Wateja kwanza halafu watupige badae Kama wenzao wanavyo Fanya. Nchi sisi wanyonge hatuna mtetezi ni kupigwa tuu.
 
Nitahama vodacom siku wakifunga biashara na kuondoka Tanzania.
 
halotel kwasasa ndo mtandao unaondena na maisha ya watanzania...vifurushi vyao vinaridhisha siyo vya kinyonyaji kama vya mitandao mingine...

kwale wenzangu na mimi tunaotumia mtandao wa vodacom tujitathimini upya kwani nahisi kama tunanyonywa zaidi.kwa ufupi vodacom ni ile ile..tumeipenda wenyewe acha tuisome namba...ila mimi nahamia Halotel kuanzia leo
Vodacom n mtandao wenye gharama za chin na Huduma bora kwa sasa Tanzania, angalia package za vifurushi vyake n bei cheee *yaKwako2*
Tatzo watanzania tumekalili ila wanaojua watakuwa wamenielewa
 
halotel kwasasa ndo mtandao unaondena na maisha ya watanzania...vifurushi vyao vinaridhisha siyo vya kinyonyaji kama vya mitandao mingine...

kwale wenzangu na mimi tunaotumia mtandao wa vodacom tujitathimini upya kwani nahisi kama tunanyonywa zaidi.kwa ufupi vodacom ni ile ile..tumeipenda wenyewe acha tuisome namba...ila mimi nahamia Halotel kuanzia leo
kwa hiyo jk na pinda wameamua nao kuingia kwenye ushindani na lowasa na rostam
 
MBONA MMECHEREWA WENZENU TUSHAAMA KITAMBOO TUNA ENJOY TU MAISHA NA MA H+ KWENYE NET NDO MAISHA YETU KARIBUNI HALOTEL JAMAN MNASUBIRI NN AU MMERIDHIKA NA MB NANE
 
Samahani mkuu, naomba nielekeze vizuri hapo inawezekana mi ndio nakosea
nenda setting ingia
more
mobile networks
NAME halotel (Hitz Tz)
APN internet
APN TYPE defaut
password 1111 mengine achana nayo
umemaliza irestart simu yako
 
Ndiyoo kwanza nimetoka kununua vocha!
13781907_645377342287363_4274170308330399259_n.jpg
 
Back
Top Bottom