Nahitaji simu Arusha

Nahitaji simu Arusha

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,976
Wakuu habari za Jmosi?

Nahitaji kununua simu baada ya niliyokuwa nazo kunizingua.

Nahitaji kununua simu smart phone kuanzia Inch 5,iwe na uwezo kuanzia GB10,iwe kwenye hali nzuri na isiwe clone/feki,iwe mpya au used.
Nitumie details na picha hapa jukwaani au 0752489529 usisahau kuweka bei.

Itapendeza ukiwa upo Arusha kurahisha kuiona simu.
 
Back
Top Bottom