O-man JF-Expert Member Joined Nov 17, 2011 Posts 323 Reaction score 70 Aug 18, 2016 #1 Nyumba ipo Mwananyamal Minazini karibu na Kanisa la KKKT. Kwa mawasiliano: +255655722172 Bei elekezi: 270m/= - tuongee.
Nyumba ipo Mwananyamal Minazini karibu na Kanisa la KKKT. Kwa mawasiliano: +255655722172 Bei elekezi: 270m/= - tuongee.
erique JF-Expert Member Joined Apr 23, 2010 Posts 587 Reaction score 579 Aug 18, 2016 #2 Hahaha, hii ni mwananyamala au Mwananyamal? Weka picha sasa
A Alkarima JF-Expert Member Joined Mar 27, 2016 Posts 223 Reaction score 174 Aug 18, 2016 #3 Mwaka huu kasi ya watu kuuza mali zao inakuja kwa kasi
O-man JF-Expert Member Joined Nov 17, 2011 Posts 323 Reaction score 70 Aug 20, 2016 Thread starter #4 We acha tu!
C chimbondi JF-Expert Member Joined Dec 16, 2013 Posts 393 Reaction score 68 Aug 20, 2016 #5 O-man said: Nyumba ipo Mwananyamal Minazini karibu na Kanisa la KKKT. Kwa mawasiliano: +255655722172 Bei elekezi: 270m/= - tuongee. Click to expand... Bei hizo kwa kipindi hiki?
O-man said: Nyumba ipo Mwananyamal Minazini karibu na Kanisa la KKKT. Kwa mawasiliano: +255655722172 Bei elekezi: 270m/= - tuongee. Click to expand... Bei hizo kwa kipindi hiki?
Zjilala JF-Expert Member Joined Jun 17, 2013 Posts 427 Reaction score 418 Aug 20, 2016 #6 Tunahamia dodoma
O-man JF-Expert Member Joined Nov 17, 2011 Posts 323 Reaction score 70 Aug 20, 2016 Thread starter #7 erique said: Hahaha, hii ni mwananyamala au Mwananyamal? Weka picha sasa Click to expand... Ni Mwananyamala. Zjilala said: Tunahamia dodoma Click to expand... Wewe umenena. Unafikiri mi nataka kwenda Chamazi?
erique said: Hahaha, hii ni mwananyamala au Mwananyamal? Weka picha sasa Click to expand... Ni Mwananyamala. Zjilala said: Tunahamia dodoma Click to expand... Wewe umenena. Unafikiri mi nataka kwenda Chamazi?
O-man JF-Expert Member Joined Nov 17, 2011 Posts 323 Reaction score 70 Aug 20, 2016 Thread starter #8 chimbondi said: Bei hizo kwa kipindi hiki? Click to expand... Tuongee bwana, usihamaki. Wewe una ngapi. Huo ndio mwanzo wa mazungumzo.
chimbondi said: Bei hizo kwa kipindi hiki? Click to expand... Tuongee bwana, usihamaki. Wewe una ngapi. Huo ndio mwanzo wa mazungumzo.