yasini msangi
Member
- Nov 13, 2013
- 16
- 5
nina desktop computer Lenova imegoma kuwaka ghafla . nikiiwasha inawaka ial haidispay kwenye monitor , na key board pamoja na mouse haviwaki , na nilijaribu kuifungua ndani nikakuta feni la kwenye processor halizunguki , je itakuwa na tatizo gani? na matengenezo yake yana cost bei gani?