Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni nzima Haina tatizo lolote la kiufundi ila kioo kina mikwaruzo kidogo bei tshs55000/=. contact 0629500010
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Simu iko vzr bt ina creaking kwa nyuma km inavyoonekana kweny pich but kila kitu kiko vzr inauzwa 170,000 tu Nichek 0719210905 Location mbezi beach africana
0 Reactions
3 Replies
766 Views
Habari wadau. Kama title inavyosema. Nahitaji Freezer ya size ya kati/ndogo. Bajeti yangu ni 200k na iwe dar es salaam. 0783883330
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyumba au kiwanja kiwe eneo la Kigamboni. Kama una nyumba au kiwanja nitumie habari zake kwa njia ya whatsapp, picha na maelezo yake wapi kipo na kama ni nyumba mf ina vyumba vingapi n.k...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
karibu ni sana kwa mahitanji ya nyumba za kupanga kununua au kuuza viwanja kununua au kuuza nyumba office ipo hakuna ubabaishaji wala utapeli piga simu Call Us:+255 755-181222. tembelea hapa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
available for all size check out [emoji116][emoji116] +255 719 470 118
0 Reactions
0 Replies
4K Views
natafuta mtu anayehitaji tushare ofisi, ofisi iko kariakoo msimbazi kongo anayehitaji anifate pm
1 Reactions
3 Replies
718 Views
Ninahitaji kampuni inayo fanya shughuli ya utafiti na uchimbaji maji. Kazi zinazo takiwa kufanyika: 1. Kufanya survey na kushauri, 2. Kuchimba Kisima. Asante. Josam
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu natafuta nyumba ya kununua DSM ofa Yangu isizidi 30mil. 0754459572
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Salaam wadau..natafuta Wafanyakazi wa kusaidiana nao kazi kwenye mini super market iliyopo Kunduchi Ununio.1 wa kile na 1 wa kiume..sifa ni kama ifuatavyo: 1.Awe anakaa maeneo ya karibu ili...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Bei za leo tu... Sd Memory Card 16gb - 15,000 32gb - 25,000 64gb - 50,000 Call: 0655659115
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Nahitaji malori tipper zile semitrailer kwa ajili ya kaz ya kubeba gypusm kwa maelezo zaidi njoo inbox..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Eneo lenye square metre 900 linauzwa kigamboni mwembe mdogo. Eneo halijapimwa ila lina docunents za serikali ya mtaa. Bei 18 mils.mhusika namba yake ni 0688151545. Anayehitaji ampigie Over
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Ina Master bedroom moja,Bedroom moja ya kawaida, Sebule, Jiko na Choo cha public na parking ya magari. Kwa maelezo zaidi nicheki Pm
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natafuta mashine ya kukamulia juisi ya miwa. Iwe kubwa (for big commercial project) yenye rollers kuanzia 4 au 5 na kuendelea. Kama unamfahamu mtu anayeuza au zinakopatikana msaada tafadhali...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
kifaa cha kupaa samaki. Usisumbuke tena kapaa samaki wako kwa kutumia kisu na kukupotezea muda wa kupika. bei 15,000..piga 0718520552..Tupo Magomeni-dar..mkoani tunatuma
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Natumaini ni wazima wana JF..... Kwa wauzaji wa mashine za kukamua miwa au yeyote anayefahamu bei za hizo mashine tafadhali naomba bei zake.
1 Reactions
2 Replies
977 Views
TUNAUZA #VIFARANGA Na #MAYAI YA KUKU AINA YA #KUROILER. 1.Tunaunza Mayai kwa ajili ya kutotolesha ya kuku aina ya Kuroiler. Tray ni sh 18,000. 2.Tunauza Vifaranga wa Kuroiler @ 2500/= ( kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
TUNAUZA #VIFARANGA Na #MAYAI YA KUKU AINA YA #KUROILER. 1.Tunaunza Mayai kwa ajili ya kutotolesha ya kuku aina ya Kuroiler. Tray ni sh 18,000. 2.Tunauza Vifaranga wa Kuroiler @ 2500/= ( kwa...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Mpgie 0688151545
2 Reactions
24 Replies
7K Views
Back
Top Bottom