Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanajamii forum nyumba inauzwa mbagara sabasaba nyuma ya shule ya st antony. Pia iko karibu na barabara na gari linafika hadi nyumbani. NYUMBA INASIFA ZIFUATAZO. - ina umeme - ina maji...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu nadhani kichwa cha habari kinajitosheleza mwenye nayo ani-pm..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza modem ya Voda kampuni ya huawei#E303#Ina WI-FI kama pc haina WI-Fi hivo itakuwa msaada juu ya hilo#Original pesa inatakiwa 20,000/= fasta niko dar Note:Utaenda ku unlock mwenyewe kwa elfu 5...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Unapohitaji kitanda imara cha chuma basi tucheki autoguru workshop. Sisi ndio Magwiji wenye proven records ya ufundi wa vitanda hapa Tanzania. Tunakutengenezea vitanda imara vya chuma kwa ajili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1. Promote detoxfying function of liver and kidney. 2. Strengthen immune system. 3. Regulate endocrine and metabolism. 4. Maintain proper heart function. 5. Improve overall physical health and...
0 Reactions
1 Replies
697 Views
MAGIC MOP (Madekio ya ajabu) yanapatikana kwangu kwa Shilingi 25 kwa mkopo (Kilimanjaro tu) na unatanguliza 10 elfu 20 cash zinadeki na kukausha maji mara 10 zaidi ya ile ya zamani...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Tunauza mayai kwa jumla Mikoani tunatuma kwa dar es salaam tunakuletea mzgo had nyumbani.. Wasiliana nasi kwa namba 0679336692.. Kila trey ni shilingi elf sita tu(6000) Karibuni sana Mteja kwetu...
1 Reactions
0 Replies
803 Views
Kiwanja kinauzwa kibaha kwa mfipa, bei mill 2 (fixed), huduma za umeme, maji, shule, zahanati zipo karibu. Contact 0766120777
0 Reactions
2 Replies
715 Views
,vipi kwa pamoja eneo LA kinyanambo c njiapanda ya kwenda Madibila,eneo linafaa kwa yardi kubwa ya magari au kuweka petrol station eneo limepimwa Na serekali kabisa Kwa mawasiliano 0655122563
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naamini mu wazima. 1.Nahitaji frem ya biashara maeneo ya Magomeni au Manzese... 2.Chumba cha kupanga pia maeneo hayo hayo. 3.Frem ya biashara Kariakoo Njoo pm tumalize kazi au nicheki whatsapp...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wote wapenzi wa T-shirts mnakalibishwa kwenye duka letu la mavazi lenye nguo zenye ubora na zisizochuja wala kutanuka pindi unapofua, kuanzia tarehe 14/11/2016 mpaka tarehe 20/11/2016...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Post deleted by author..
0 Reactions
2 Replies
758 Views
Hallo, Plz, natafuta mtu wa kunifundisha bodaboda kwa siku tatu tu. Siku 3, baada ya hapo awe na uhakika kuwa ntakuwa nime fuzu. Najua kuendesha gari(uzoefu 11yrs) hivyo sheria zote barabarani...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habar zenu wandugu, Nina rafiki yangu anauza premio yake ili aweze kuongezea kwenye mtaji wa biashara yake, bei anayouzia Gari yake namba b anaanza 5.5m pungufu unaongea, Gari ipo magomeni Na ina...
0 Reactions
0 Replies
932 Views
1. Ref no.1 APARTMENT TOLET SUMMARY Location: Dar es salaam, MbeziBeach Asking Price: Tshs 250,000 Property type: Apartment Bedrooms: 1 Bathrooms: 1 PROPERTY DESCRIPTION A house of one...
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Natafuta lori kuanzia tone kumi nakuendelea kuna mzigo kutoka Dar kwenda-Dodoma,Iringa na Shinyanga.. ASAP 0716792692 ..SITAKI DALALI
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Picha zinajieleza mm ni mfanya biashara mjasiliamali naanza biashara. Natafuta anaeuza viatu hibi ili nianze biashara kwa kununua na kuuza. Mawasiliano 0625 568600 au 0755 103405
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kutana madokta wa gari ya kisasa Magari tunayo shugulika nayo ni Mercedes-Benz, BMW, Audi, Ford, na Volkswagen. kama unatatizo sehem yoyote kwenye gari yako karibu utuone. Pia tuna shugulika na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni nzima Haina tatizo lolote la kiufundi ila kioo kina mikwaruzo kidogo bei tshs55000/=. contact 0629500010
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Back
Top Bottom