Simu ni used mwez 1 na week 2,ipo kweny hali nzuri,rangi yake ya champaign gold...nakupa charger,ear phon,box na risit ipooo bei ni 170,000 km unahitaji ni pm.
Wale wenye laptop au pc zisizo na WiFi haijalishi ni computer ya aina gani ina inakuja na CD zake kwa ajili ya driver..inauwezo wa kudaka na kutawanya wireless mita 300.contact 0657154954
Bei 40000
Habari wanabodi,mwenye mashine ya kisasa used au brand new ya kufua na kukausha nguo at the same time(two in one) yaani washing and drying machine kwaajili ya biashara naomba tuwasiliane ila iwe...
One 2 One focus co.ltd ni kampuni ya ujenzi inayosaidia wateja wake kupata mikopo ya ujenzi wa nyumba za makazi na za biashara.
Ili uweze kukopa inabidi uwe na kimoja kati ya vifuatavyo;
Hati ya...
Salaamu wanaJamii,
Nataka kupata mtu anayeleta Samaki aina ya SATO WABICHI kutoka Mwanza kuja Dsm na anauza kwa Jumla tuwasiliane. Nataka kupata Mzigo (Mawasiliano: 0767235923).
Karibu sana!
Tunauza vifaranga wa nyama waliokwisha patiwa chanjo zote New castle, Typhod pamoja na Bomboro. Wana afya njema na wako katika hali nzuri sana.
Umri: Siku 12
Idadi: 150
Tsh. 3300 kila kifaranga...
Wakuu, nauza mashine ya kupima wingi wa damu aina ya Hemocue 201+ kwa bei ya Tshs. 400,000/=
Ni nzima kabisaaa imetumika mwaka mmoja
Tuwasiliane No:- 0628-567470
Niko Morogoro.
Mimi ni mmiliki wa Kiwanja kilichopo Isaka kahama Barabara ya nne,
Kiwanja ni kikubwa cha kutosha hakijapimwa ila kipo kwenye ramani hakina mashaka kuna vitu vifuatavyo kwenye kiwanja kisima cha...
Andrew anamiliki Shamba/Ardhi ilililosajiliwa lenye Ekari 23. ,Lipo Mkoani kilimajaro Maeneo ya Chekereni.
Kama unahitaji kununua linauzwa.
Ama kama unahitaji kukodi kwa matumizi mbalimbali Iwe...
Kiwanja kinauzwa 600m. Kipo Morroco, ukubwa wa kiwanja sqm 700. Kiwanja kimepimwa, kina hati, hakidaiwi na taasisi yeyote ya kifedha pia ni cha mtu binafsi.
Kwa mawasiliano zaidi 0652928075
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.