Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

anayeiuza tafadhali
0 Reactions
2 Replies
813 Views
Simu ni used mwez 1 na week 2,ipo kweny hali nzuri,rangi yake ya champaign gold...nakupa charger,ear phon,box na risit ipooo bei ni 170,000 km unahitaji ni pm.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wale wenye laptop au pc zisizo na WiFi haijalishi ni computer ya aina gani ina inakuja na CD zake kwa ajili ya driver..inauwezo wa kudaka na kutawanya wireless mita 300.contact 0657154954 Bei 40000
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Serious buyers only Allbra2k@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wanabodi,mwenye mashine ya kisasa used au brand new ya kufua na kukausha nguo at the same time(two in one) yaani washing and drying machine kwaajili ya biashara naomba tuwasiliane ila iwe...
1 Reactions
19 Replies
7K Views
One 2 One focus co.ltd ni kampuni ya ujenzi inayosaidia wateja wake kupata mikopo ya ujenzi wa nyumba za makazi na za biashara. Ili uweze kukopa inabidi uwe na kimoja kati ya vifuatavyo; Hati ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nauza cm iphone s4 bei sh.laki 4 nicheki cm no 0769322746
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Salaamu wanaJamii, Nataka kupata mtu anayeleta Samaki aina ya SATO WABICHI kutoka Mwanza kuja Dsm na anauza kwa Jumla tuwasiliane. Nataka kupata Mzigo (Mawasiliano: 0767235923). Karibu sana!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza vifaranga wa nyama waliokwisha patiwa chanjo zote New castle, Typhod pamoja na Bomboro. Wana afya njema na wako katika hali nzuri sana. Umri: Siku 12 Idadi: 150 Tsh. 3300 kila kifaranga...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Salaam wandugu nauza gari aina ya Suzuki Cary ipo Dar bei ni ml.6 iko vzr alie tayari karibu tuyajenge.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza simu ya tecno sh laki na elfu kumi tu taslimu za kiTanzania
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nauza simu tecno j8 haina tatizo lolote ni ya rangi nyeupe 270k napatikana dar es salaam 0675990776
1 Reactions
4 Replies
882 Views
....
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Wakuu, nauza mashine ya kupima wingi wa damu aina ya Hemocue 201+ kwa bei ya Tshs. 400,000/= Ni nzima kabisaaa imetumika mwaka mmoja Tuwasiliane No:- 0628-567470 Niko Morogoro.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mimi ni mmiliki wa Kiwanja kilichopo Isaka kahama Barabara ya nne, Kiwanja ni kikubwa cha kutosha hakijapimwa ila kipo kwenye ramani hakina mashaka kuna vitu vifuatavyo kwenye kiwanja kisima cha...
1 Reactions
0 Replies
914 Views
Nimejiunga rasmi na mtandao wa instagram ili kunipata hilo ndio jina langu.bado ninatoa ushauri na miongozo bure@elishachuma
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Andrew anamiliki Shamba/Ardhi ilililosajiliwa lenye Ekari 23. ,Lipo Mkoani kilimajaro Maeneo ya Chekereni. Kama unahitaji kununua linauzwa. Ama kama unahitaji kukodi kwa matumizi mbalimbali Iwe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Anayehitaji line ya Tigo na M-Pesa zote mbili anipe laki tano anicheck fasta. 0758844240
0 Reactions
19 Replies
2K Views
kiwanja kipo kibugumo karibu na bahari pia karibu na barabara kiwanja kimepimwa, hati ipo ukubwa wa kiwanja ni sqm 30×35 bei 28m contact 0656928075
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa 600m. Kipo Morroco, ukubwa wa kiwanja sqm 700. Kiwanja kimepimwa, kina hati, hakidaiwi na taasisi yeyote ya kifedha pia ni cha mtu binafsi. Kwa mawasiliano zaidi 0652928075
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Back
Top Bottom