Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Deki nzuri kutoka UK original zinapitakana kwa bei poa fika ofisini kwetu ilala boma mtaa wa arusha au piga Namba 0715 856687 NB:Deki ni special for flat TV Tupigie kuweka oda yako na mkoani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NYUMBA ya kupanga mjini Iringa inahitajika haraka sana. Sifa zake ni vyumba viwili na sebule kimoja. Nyumba iwe kati ya Wilolesi , Lugalo, Kihesa , Mkwawa, Gangilonga , Ilala ,Frelimo, Makorongoni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta lens za saiz mbalimbali kwa dar naweza pata maeneo gani?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kifaa cha kupaa samaki. Usisumbuke tena kapaa samaki wako kwa kutumia kisu na kukupotezea muda wa kupika. bei 15,000..piga 0718520552..Tupo Magomeni-dar..mkoani tunatuma
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habar za humu wakuu ninauza mashine ya kuoshea magar bei kuanzia laki 3.5 ila pia maelewano yapo.. nichek kupitia 0712268339 au 0767563949
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa Mbweni karibu na Shamsiye Secondary School Bei Ni 150,000/= mazungumzo yapo
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Inasehemu ya kuweka memory card, iko faster mtandaoni pia bado mpya na ipo kwenye hali nzuri kabisa. 20,000/= ni PM tuwasiliane
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Wadau modem bado mpya, bei 18000/ tu.
0 Reactions
1 Replies
587 Views
Nauza laptop Dell HDD.......320gb Processor....core i3 RAM...........4gb Iko kwenye hali nzuri Bei 350,000/- Maelewano pia yapo. Kwa maelezo zaidi PM
0 Reactions
4 Replies
955 Views
Nauza mitungi ya Mihan gas 6kg kwa bei ya sh 70000 ukiwa kamili na Regulator, Burner, na Trivet, yaani wewe ni kuchukua na kupikia tu. Napatikana Kongowe-Kibaha. Ukiwa maeneo ya Kibaha unaletewa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wana jf. Nina laki moja cash naitaji smartphone iliyopo katika hali nzuri ani pm
0 Reactions
16 Replies
1K Views
appoh 19:59 Today nauza samaki wa mapambo aina tofauti kama zifuatavyo black more shiling 10000 kwa pea serfin more shiling 10000 kwa pea orange more shiling 10000 kwa pea...
0 Reactions
56 Replies
12K Views
Gari inauzwa, ni suzuki vitara yenye engine ya V6 manual. Haidaiwi popote. Body/engine vipo katika hali nzuri. Bei ni 5m. For serious buyers, pls tuwasiliane!
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Mwenye dish la fut 15 nina shida nalo
1 Reactions
3 Replies
599 Views
Mwenye uhitaji wa line ya mpesa kwa ajili ya biashara ani PM bei ni 120000 tu.
0 Reactions
4 Replies
864 Views
Natafuta mteja wa air condition nimeitumia kwa mieezi mtatu tu. Nimeacha kuitumia baada ya kufunga biashara yangu ya Saloon ya kike. Kwa hiyo nimeamua kufungua aina nyingime ya biadhara ambayo...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu wa nchi Natumaini mnaendelea vizuri na huu mwendo kasi , Nina mpango wa kuhamia Dodoma na Nina scania tipper mende kwa ajili ya biashara yaani kubebea mchanga .Naomba kuuliza kama Kuna mtu...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Naitaji frem ya biashara dodoma shm yoyote.kwa mwenye ufahamu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom