Deki nzuri kutoka UK original zinapitakana kwa bei poa fika ofisini kwetu ilala boma mtaa wa arusha au piga Namba 0715 856687
NB:Deki ni special for flat TV
Tupigie kuweka oda yako na mkoani...
NYUMBA ya kupanga mjini Iringa inahitajika haraka sana. Sifa zake ni vyumba viwili na sebule kimoja. Nyumba iwe kati ya Wilolesi , Lugalo, Kihesa , Mkwawa, Gangilonga , Ilala ,Frelimo, Makorongoni...
kifaa cha kupaa samaki. Usisumbuke tena kapaa samaki wako kwa kutumia kisu na kukupotezea muda wa kupika. bei 15,000..piga 0718520552..Tupo Magomeni-dar..mkoani tunatuma
Nauza mitungi ya Mihan gas 6kg kwa bei ya sh 70000 ukiwa kamili na Regulator, Burner, na Trivet, yaani wewe ni kuchukua na kupikia tu.
Napatikana Kongowe-Kibaha. Ukiwa maeneo ya Kibaha unaletewa...
appoh 19:59 Today
nauza
samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea
serfin more
shiling 10000 kwa pea
orange more shiling 10000 kwa pea...
Gari inauzwa, ni suzuki vitara yenye engine ya V6 manual. Haidaiwi popote. Body/engine vipo katika hali nzuri. Bei ni 5m. For serious buyers, pls tuwasiliane!
Natafuta mteja wa air condition nimeitumia kwa mieezi mtatu tu. Nimeacha kuitumia baada ya kufunga biashara yangu ya Saloon ya kike.
Kwa hiyo nimeamua kufungua aina nyingime ya biadhara ambayo...
Wakuu wa nchi Natumaini mnaendelea vizuri na huu mwendo kasi ,
Nina mpango wa kuhamia Dodoma na Nina scania tipper mende kwa ajili ya biashara yaani kubebea mchanga .Naomba kuuliza kama Kuna mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.