Baiskeli kama ya AZAM inauzwa

Baiskeli kama ya AZAM inauzwa

Bac3

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2016
Posts
392
Reaction score
437
habari wana jamvi,

kuna baiskeli naiuza,ipo kama zile za Azam za kuuzia ice cream, ila hii unaweza kuuzia vitu mbali mbali kama ice cream, juice,barafu,vitafunwa, vitu vya urembo n.k

Bado ni mpya sijaanza kuitumia
Napatikana Dar es salaam
Bei ya kuanzia ni laki nane (800,000) ila inapungua kidogo baada ya maongezi

tuwasiliane kuongea biashara

0653116399

1480238343656.jpg
1480238354991.jpg
1480238363002.jpg
 
Design quality ipo too local, na pia haistahili kuuzwa kiasi hicho ingawa umesema bei inapungua...
 
Design quality ipo too local, na pia haistahili kuuzwa kiasi hicho ingawa umesema bei inapungua...
yah ofcourse ni local but still ni unique in so many ways!! kama Guta ni laki sita na hii nimeanzia laki nane unafikir nitaishusha mpaka sh ngapi? by the way unaihitaji?
 
Mkuu sio ya wizi kweli hii? Mbona umeificha kwenye choose cha uani na nyororo juu.
 
Mkuu sio ya wizi kweli hii? Mbona umeificha kwenye choose cha uani na nyororo juu.
hahaha hapana mkuu, ni mpya afu sina pa kuilaza! nimeiweka hapo nje ndo maana nimeifunga
 
Mie nidizainia pikipiki ya hivyo,
hizi za pedal nzito sana bana kuendesha
 
Inatumia Mota,mafuta au nguvu zako maana Hilo paa utaendesha baiskeli Huku wengine wanakuendeshea kiwanda change kutotoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom