Ktk kutafuta ufumbuzi wa tatizo langu..nilianzia kwa councilors "ushauri nasaha"akanambia maliza kwanza mambo yako ya ndani ya nyumba tyen ndo ntaweza kuwa msaada kwako..nikaona huyu hajakata kiu yangu nikaenda kwa Neurologist mmoja "namhifadhi"alinisikiliza A-Z shida yangu then akaniandikia dawa za kumeza Lamotrigine/Lamitor ni mwezi wa 9 sasa niko kwenye doz siwez kuacha kea sabb nina mood disorder/depression...ss hiyo dawa pamoja na kunipa unafuu flan lkn inaniletea usngz so napata shida kazini..afu kichwa kinakuwa chini ya control fulani yan.siwez kufanya ninachojisikia kufanya ...nimegoogle matumizi yake inaonekana ni kwa ajili ya kucontrol wagonjwa wenye seizure,Alzheimer's Disease,Bipolar disorder,Anxiety,nk....
mengi zaidi nitayaeleza kwa atakayeweza kunielewa na kunishauri wapi pa kupata msaada...waweza ni pm pse..
mengi zaidi nitayaeleza kwa atakayeweza kunielewa na kunishauri wapi pa kupata msaada...waweza ni pm pse..