Nyumbabunifu ni mradi wa uwezeshaji wa umiliki wa nyumba kwa gharama nafuu na kwa njia mbalimbali za ulipaji kwa njia mbalimbali, mradi huu umebuniwa na kuratibiwa na kampuni ya Chad Creation co...
Heshima kwenu wadau,
Naombeni msaada wa link za kuamini za mitandao zinazouza magari toka SA kama zile za japani ambazo ni za kuaminika na c za kitapeli. Kuna gari aina ya toyota hilux ya mwaka...
Wadau;
Chumba cha kupanga kinatafutwa, maeneo ya Ubungo mpaka Kimara Mwisho
1. Chumba Kiwe Na Umeme Na Maji
2. Kisiwe Mbali Na Barabara
3. Kikipatikana chenye choo ndani au choo cha kujitegemea...
Ninahitaji dada wa kunifanyia kazi za ndani. Ninaishi Mwanza Wilaya ya Ilemela kata ya Buswelu. Mshahara utakuwa Tshs50,000/ kwa mwezi. Aanatakiwa awe na sifa zifuatazo:
1. Ajue kusoma na...
Waungwana Mimi ni mfuga Nyuki nipo Dodoma. Nimepata dharula ,sina namna nimeamua kuuza Asali ya nyuki wakubwa kwa bei ya hasara ili nikidhi hitaji lililonisibu.
Asali huwa nauza ndoo ya Lita 20...
Nauza bidhaa za kutunza ngozi bila kuchubua wala kuharibu ngozi kwa style yoyote ile
Happy skin ....ewe Mkaka na mdada changamkia hii hutojutia makovu yote mwilini na vipele kwisha unabaki soft...
Habari zenu wana jf wenzangu hope mnaelendelea salama ...
Ningependa kuja mtu mwenye idea at least ata kidogo namna ya kufungua new website ... Nina shida nayo tena sana
ASANTE
Nataka dishi kwa ajili ya kuunganisha na receiver yangu startsat kwani langu nimekuta limeibiwa na nina uhakika dish lolote linanifaa!!Bei isizidi elf 20 kwani dukani dish tupu elf 40!![emoji51]
Habarini wandugu?
Naomba mnisaidie wapi naweza pata msaada wa vifaa ujenzi au pesa katika project yangu ya ufugaji kisasa wa nguruwe. Sehemu ya eneo lilipo n morogoro wilaya ya ifakara karibu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.