Habari zenu wakuu.
Natanguliza heshma kwenu
Kwa mtu yeyote anayeitaji website hosting kwa gharama za chini, web design and implemantation and system, mimi nipo kwa ajiri yako usisite kunitafuta...
Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,
Bei: 4.5M.
Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.
Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora.
Kiwanja #29 &...
Shamba lipo Mkuranga kupita kimanzichana kijiji cha Mkiu km 6 kutoka barabara kuu iendayo Mtwara, ni heka 35 nauza zote kwa pamoja kila heka 550,000. Hakuna dalali mimi ndiyo mmiliki, kwa...
Habri gani wakuu?
Tunapenda kuwajulisha kuwa tunafanya shughuli zilizoainishwa kwenye kichwa cha habari,yaani ujenzi wa mabwawa ya samaki,nyumba za kuishi na mabanda ya kisasa ya kuku,nguruwe na...
viwanja vya makazi vinauzwa.. vimeshapimwa utapatiwa na hati miliki...
ukubwa.. sqm 450
bei..milioni 4,kwa walimu unaweza pata kwa mkopo
mahali....karibu na bagamoyo..
kwa maelezo zaidi..
Habari wana Jukwaa!
Nauza Pikipiki yangu Boxer BM 150, Ipo katika hali nzuri, nimekuwa nikiitumia kwa matumizi binafsi. Ipo Morogoro Mjini. Now naiuza Coz nahitaji Kununua Usafiri Mwingine. Bei...
I am looking for a trusted person coming to Tanzania from South Africa before the end of this month.
I want to buy Corks and Capsules from RX South Africa but the cost of delivery through formal...
Nauza mashine ya kutotoleshea mayai ya kuku, kwale na bata mzinga; uhakika wa kutotolesha ni asilimia 98
Inauwezo wa kuchukua mayai 1056 kwa mkupuo.
Ni automatic inafanya kila kitu yenyewe.
Ni...
Habari Wapendwa,
Napenda kuwatangazia ya kwamba nauza kifaa kidogo cha kutengenezea tambi za dengu au chauro kwa jina lingine.
Nauza 22,000/-Tshs tu.
Nakuletea popote ulipo DAR ES SALAAM, kwa wale...
Ina vyumba vitatu ndani na sehemu ya wageni. Chumba cha master kina choo ndani. Ina banda la uani pia lina vyoo viwili, uani pia jiko na store. Nyumba imezingusha uzio bei ni mil 80. Mwisho
Hello
Jamani natafuta container la kukodi, au cold room maeneo ya kati ya IRINGA na TUNDUMA! Yeyote mwenye habari, tuwasiliane kupitia, whatsapp au sms number +255 754 339922, au ani-pm
Kiwanja kinauzwa maeneo ya chalinze ambayo ukubwa wake ni heka nane(8) na lipo barabarani karibu na rami kila plot moja ambayo ni sawa na heka mbili na nusu ni milion miatano mwisho ni mil mia nn...
Kutana na wachoraji wa ramani kutoka Mbeya university of science and technology (MUST).....pia tuna design mbalimbali za majengo na kukadilia gharama za awali za ujenzi yaani (boq)
Napenda kutoa pongezi kwa kiwanda cha mirija ya kunywea juice cha Tanpicks cha Arusha, jitahidi kuongeza uzalishaji na hatimaye kuteka soko lote la africa mashariki
Pata vyungu vya joto kwa ajiri ya kukuzia vifaranga kwa bei nafuu kabisa, vyungu hvi huweza kukaa na joto kwa mda w masaa kumi na zaidi na kuweza kulinda kuku na baridi 12000 kwa kimoja, chek mi...
Tafadhali rejea kichwa cha habar hapo juu. Nahitaji kununua gari moja wapo hapo juu. Naomba ushauri juu ya gar hizi hasa uimara wake fuel consuption na pia kuhusu confortability. Pia mnaweza...
Cpu kwa 70, 000/=
-Proccesor-i5
-Ram-2gb
-hd-200gb
-dvd writer
-Nvidia card
-keyboard
Inafaa sana kwa shughuli za kiofisi.
Napatikana mbezi mwisho-kimara
Contact. 0755360552
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.