ommytech.com inakupatia huduma ya hosting kwenye website yako pia kununua domain kwa bei rahisi kabisa kma utahitaji wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0752292473 karibun
SAMSUNG LAPTOP
CORE I3
6GB RAM
500GB HARD DISK
IKO VIZURI SANA ,BEI NI SHILINGI LAKI 4 .... 400,000/= ... MAELEWANO YAPO
NIPO MBEYA IYUNGA TUWASILIANE 0652 823513.
Kama unahitaji nyumba, viwanja, magari, vyumba, frem za maduka, nyumba za stoo(Godown) n.k. ndani ya jiji la Arusha, wasiliana
nasi kwa 0767287941
Kwa sasa tuna:
1. Nyumba Moshono yenye...
Mimi ni mkulima wa nyanya; niko mbio ni kuanza mavuno ya nyanya zangu. ni nyanya za kawaida pamoja na zile ndogo ndogo {cherry tomatoes} wengine wanaziita baby tomatoes. Nakaribisha mwenye uhitaji...
kwa yeyote atakayeisaidia wapi nitapata Karela tafadhali.nipo Arusha ila hata wa mikoani nitapokea tu.tafadhali nijulisheni ama mwenye nayo anijulishe.asanteni.kwa ushirikiano wenu.
Asalam wakuu
Binafsi naamini kuwa tatatizo la nguvu za kiume ni la kisaikolojia zaidi kuliko tunavyofikiria.
sasa hapa mtaani kwetu nilipita kwenye kijiwe cha kahawa chenye mchanganyiko wa wazee...
Hello wadau nina gari aina ya toyota surf naomba anayeuza Bampa la nyuma ya Gari na kile kikofia cha juu cha nyuma ya Gari aniuzie. ziwe kwenye hali nzuri ...nipo mwanza
Nauza kiwanja, kipo eneo linaitwa Italiani kabla haujafika Chanika, Limezungukwa na nyumba zilizoisha tayali, ni 20kwa 20. bei 3,000,000. Maelewano yapo. 0718571137, 0756528845
Ipo Goba Matosa umbali wa mita 250 kutoka Barabara ya lami,ina vyumba 3 vya kulala(kimoja master bedroom) dinning,sitting room,jiko,public toilet,Kiwanja kina ukubwa wa 30x22 bei tsh 55m.
Je unahitaji nyumba sehemu tulivu isiyo na vurugu?
A/ni isamilo nyuma ya mwenge primary school
1.ina bedrooms 3,including à Master bedroom,jiko,sebule nk
2.kila kitu kipo.... Ulinzi. Maji.umeme...
Wadau Jf, Kwa anajua masoko ya mayai Znz, nataka nijaribu kumpeleka,mimi nipo Kitunda ambako ndiko mayai karibu yanako tokea. Kwa anayejua bei anipe mwanga. Asante.
Wateja wa gesi ya oryx mwanza. Hebu ukiishiwa gesi tupigie tukuletee hadi mlangoni. Usafiri buree kabisa. Tucheki kwenye namba 0688955988 au 0754810008
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.