Tunauza mitungi ya Mihan gas ya 6Kg kwa bei ya 70000 ikiwa complete na regulator, trivet, burner, na gas yake.
Tupo Kibaha na walio karibu na maeneo hayo ataletewa hadi nyumbani.
Mahitaji yote ya SOLAR YA KIUFUNDI, KIUSHAURI NA VIFAA VYOTE VYA SOLAR pamoja na BACKUP za UMEME kwa gharama nafuu zaidi zinapatikana SNL SOLAR CO. LTD na tunatoa Warranty ya kutosha.
Tupo SINZA...
Mahitaji yote ya SOLAR YA KIUFUNDI, KIUSHAURI NA VIFAA VYOTE VYA SOLAR pamoja na BACKUP za UMEME kwa gharama nafuu zaidi zinapatikana SNL SOLAR CO. LTD na tunatoa Warranty ya kutosha.
Tupo SINZA...
Nauza shamb langu lenye ukubwa wa Hekari moja lipo Manispaa ya mji wa mtwara sehemu inaitwa Naliendele Shangani, ni shamba lenye ukubwa wa hekari moja na likiwa na baadhi ya mazao kama Mikorosho...
Ipo karibu na Kampala I. University- dakika 5 kwa kutembea. Ina Umeme, wapangaji na documents za umiliki.Piga simu 0712173615 au katabazi@hotmail.com,naiuza mwenyewe si dalali.
Husika na kichwa cha habar hapo juu plz kwa wale wanaotumia kingamuz tanjwa hapo juu naomba kujua bei yake na unapata Chanel ngapi na ubora wake na malipo kwa mwenzi ni bei gan shukran
"Kwakweli tumechoka kuonewa, kutukanwa na kunyanyaswa na waajiri wetu" ndivyo anavyoanza kusimulia Mwalim Kerambo. Kerambo ambaye ni miongoni mwa wahamasishaji juu ya chama kipya cha walimu wa...
Nyumba inauzwa kibaha ina kiwanja cha kuendeleza ujenzi ipo kongowe
Nyumba ipo mita 900 (0.9km) kutoka barabara kuu ya morogoro.
Ni vyumba 2 self na choo na mfumo vimekamilika.
Bomba kubwa la...
Gari tajwa inahtajika...Iwe na reasonable price, isiwe imeguswa wala kupigwa mkono.
iwe bado inahta kiasi chake. Cjanyooka showroom maana mil 14+ sina
Nipe ofa yako tufanye biashara. Usiwe dalali
20x20 Goba mpakani. Karibu kabsa Mpakani Sec school.
Ina hati ya serikali za mtaa.
150 metres from main road.
Maji na umeme yapo
Bei 6 mls
Mpigie huyu
Call: +255714481167
Wadau amani iwe Nanyi.
Plot moshi inauzwa ipo Shia mjohoroni mbele kama una tokea kiborloni.
Ukubwa: 1ekari 150mita kutoka barabara kuu ya Moshi~Dar
BEI:50ml. hakuna udalali
Wasalaam members wa jamiiforums!..
Tunawakaribisha tena kwa ajili ya huduma za mtandaoni (online services). Tuna design website za kisasa na za aina mbalimbali, tunasajili domain na kuhost...
Habari, nipo mwanza Kwa wenye viwanda wanaohitaji dagaa kutoka kanda ya ziwa za kutengenezea vyakula Kuku anitafte, na supply kuanzia kilo 2000 anitafte no 0689884393. Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.