HABARI ZENU WAPENDWA, NAUZA NOAH YANGU SR 40 YENYE NAMBA T 585 BNK KWA MILIONI SITA NA LAKI NANE (6,800,000/=) PUNGUFU UNAONGEA, GARI NI NZIMA NA HAIDAIWI, GARI IPO DAR, NATOKA NAYO GOBA HOME...
Wadau nimejaribu kufuatilia hata through internet lakini sijapata helpful information zozote..nahitaji kujua zilipo ofisi zao au/na contacts zao hawa jamaa wa ICAP........nakumbuka nilishawahi...
Pata tablet ya 4g yenye resolution nzuri ya kioo kwa 250,000Tsh tu.
Ni at&t ila haisumbui chochote kuhusu ussd wala mtandao.
Inakaa na chaji vizuri tu.
Nitafute kwa 0673206639.napatikana dar es...
[emoji95]BURUDANI[emoji92]BURUDANI[emoji92]BURUDANI[emoji95]
Kama ilivyo utamaduni wa DARUSO-SJMC kwa miaka kadhaa sasa, mwaka huu pia inaendeleza utamaduni huu wa kuandaa tafrija ya...
Kwa miaka ya hivi karibu swala la kuwekeza limekuwa ni kitu kisichokwepeka kutokana na:
[emoji117]Ukosefu wa ajira
[emoji117]Ajira zisizotabirika
[emoji117]Kupanda kwa gharama za maisha...
Salama wadau
Nauza karatasi za A4,A3 na legal papers kwa jumla kama ifuatavyo
1.A4 nauza elf 31000 kwa box la 5
2.A3 nauza elf 57000 kwa box ya 5
3.Legal papers 100000 kwa box ya 2
karibuni...
Sub woofer ndogo ya rising imekatatika kichwa cha wire cha kuchomeka kwenye socket ila inafanya kazi.
Ina support usbb flash na fm radio. Bei 55000
External hard disk ya toshba 3.0, 3 months used...
[30/10 1:21 pm] mushi: Mzigo wa gar umeongezeka
Rav 4 old model kipis 5 milipm
Cresta gx 100 3
Mitahubish pajero gdi 7 tu
Posho tunagawana leta mteja ongeza cha juu hakuna matata
[30/10 2:52 pm]...
Shamba lipo dar es salaam wilaya ya kigamboni kata ya kisarawe two lina heka 15 kila heka nakodisha kwa 200,000 utalima kwa misimu miwili, maji yapo. Kwa mawasiliano 0627748402
Misimu ya ligi za soka ndio hio inaanza
Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1...
Jipatie viti vya plastic kwa matumizi ya nyumbani na sehemu mbalimbali kulingana na mahitaji yako.ukihitaji unaletewa popote ulipo kwa wateja wa dar unaletewa bure na wa mikoani tuna tuma pia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.