Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Changamkia fursa ewe mjasiliamali ongezea vyanzo vya mapato gengenn/dukani/mgahawani kwako kwa Huduma ya m_Pesa lain inapatikana Mbalizi mbeya kwa tsh 180000 usiogope maongezi ni bure
0 Reactions
1 Replies
579 Views
Core i5 2.4 GHZ processor HDD 500 GB RAM 3 GB Iko katika hali nzuri kabisa. Mawasiliano 0625 415152
0 Reactions
0 Replies
1K Views
PUREWELL(water filter) ni kifaa kizuri sana kwa ajili ya kusafishia maji na kufanya yawe safi na salama. Kifaa hiki pia kinatibu SI kusafisha tu minyoo ya aina zote. #kichocho #safura #Typhoid...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
SITTA TECHNOLOGY, tunasuka inverter zenye ubora kuanzia 50W-5000W tunatoa na waranti ya miaka 3,inatumia umeme kdogo sn kuanzia 6v inatoa 220v, ni ngumu sana kuungua ikitokea short zaid ya kukata...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Je, una rafiki yako au jamaa yako anayehitaji kununua au kuuza mali zinazohamishika au zisizohamishika kama kama magari, nyumba na viwanja? Tuonganishe naye tutakulipa kamisheni, ikiwa tutaweza...
0 Reactions
2 Replies
588 Views
OFA OFA OFA OFA Ungependa kutengeneza tovuti yako bure sasa na kwa muda mfupi? Ungependa kupata hosting na space kutosha? Ungependa kupata domain name bure ? tzhost inakupa yote hayo pamoja na...
1 Reactions
3 Replies
826 Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo kati ya Mjimwema, Kibada na Gezaulole. Nyumba iwe na vyumba 2 vya kulala, sebule na jiko. Pia kuwepo na maji na packing ya gari mbili. Bajeti yangu ni tzs...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eneo liko Buswelu jijini Mwanza, mita 200 kutoka Buswelu centre, linafaa kwa kufanya biashara ya uzalishaji (kiwanda kidogo), pia linaweza kutumika kwa kuendeshea mafunzo / chuo. Awali lilikuwa...
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Habari zenu wana jamvi niko mwanza nataka kujua kama kuna uwezekano wa kupata kampuni ambayo inauza magari showroom ambapo ntakua naweka Pesa kidogo kidogo hadi ifike kiasi hicho ndo nichukue...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Wana jukwaa habarini, Juzi juzi nilieka advert ya kuuza sim humu JF, basi wakatokea watu waka ni PM na mmoja wao alikua anatumia username Deimos, basi akaniambia yupo Tabora na yupo interested na...
1 Reactions
55 Replies
4K Views
Tunatoa huduma za printing kwa bei ya Mtanzania[emoji4] Karibu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza Samsung s7 Edge/32gb hiyo inahitaji Tsh. 1,100,000 / Tsh.1.1m...mwenye uhitaji anicheki 0655659115
0 Reactions
1 Replies
572 Views
Jipatie lotion za kutoa nyama uzembe,weusi wa kijichubua, michirizi sugu.mawasiliano 0784130874 au nifollow @ slimming lotion
0 Reactions
6 Replies
919 Views
Inajicharge yenyewe cjui inakuaje? Nikitoa kwenye chaji bado inaonyesha ile alama ya charging, mwenye utaalam anisaidie plse, cm ni original, c ya kichina
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Price 9.2M Contact 0672-926143
0 Reactions
12 Replies
1K Views
habari..naitaji godoro la dodoma foam inch 8-10...kwa bei ya inch 8(120,000-130,000)inch 10-150,000... wapi naweza nikapata kwa bei hiyo??? Napatikana tabata kinyerez.z shukran
0 Reactions
24 Replies
55K Views
Wadau salamu zenu! Ninatafuta kiwanja maeneo ya Majohe kiwe karibu na kwa Ngozoma au Majohe Kichangani. Kiwe na ukubwa wowote. Natanguliza shukrani wadau.
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Salama wakuu katika jukwaa hili Nina shida na Tv ya Inchi 32 kama kuna MTU ana tawi Kwa Mwanza na Musoma tafadhali Anicheki Kwa 0767258286 WhatsApp 0789258286
0 Reactions
1 Replies
894 Views
kwa aliye serious anaweza kuwa ananiagizia pweza toka dar kuja mbeya kila siku anipm
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom