RICK PLAN COMPANY LIMITED ni kampuni binafsi yenye usajili na leseni halali kibiashara.
Tangu 2011 kampuni imekuwa ikijihusisha zaidi na Biashara ya Usafirishaji wa bidhaa au mizigo mbalimbali...
African capital ni taasisi inayohisika na utoaji wa mikopo kwa watumishi/ wafanyakazi wa serikali. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na malipi ni miezi sita mpaka miaka mitano. Riba mi 18%...
Nahitaji air compressor yenye piston moja ambayo imetumika budget yangu Tzs 100,000. Kama unayo na umeridhika na budget yangu basi nitonye kwa kunitumia ujumbe binafsi
African capital inatoa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali dar es salaam kwanzia laki mbili mpaka million kumi na tunanunua madeni. Riba ni 18% kwa mwaka na malipo ni ndani ya miezi sita mpaka...
Simu yenyewe ni CONDOR C 6 , ni simu ambayo nzuri niliyokuwa naitumia sasa imeanguka imeweka nyufa display yake. Nawauliza wanaofahamu ni wapi kwa hapa dar nitapata display yake, au simu yenyewe...
Habarini za leo wanajamii forums, nina kiwanda cha kukamua mafuta ya Alizeti ni kipya na kipo kwenye jengo jipya kabisa katika kijiji cha shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida ambapo ni maarufu...
Habari wana Jamii kama kichwa cha habari kinavyojieleza nauza Laini za uwakala za Tigo pesa Laini ambayo haijawahi kufanya Transaction yeyete kwahiyo usiwe na hofu kwa bei nafuu bei ni Maelewano...
Hii htc ilikua mpyaa inauzwa bahati mbaya nikaiangusha na kuipa crack kidogo,hiyo crack ipo kushoto chini ukiaangalia vizuri hizo picha utaiona,nimeitumia wiki tu. napatikana dar
Bei:250,000Tsh...
Heshima kwenu wadau wa jf. Jana nimedondosha simu yangu. Natafuta mdau anayeweza kuniuzia simu kwa bei hyo 250000. Isiwe tekno,huawei. Ila sony,sumsung,htc zitapewa kipaumbele.napatikana mwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.