Bei gani kama hiyo
Halo umesema kweli. Weak kila kitu wazo hapa unajitangaza bure. Tujifunze kwa wenzetu kuwa muwazi na mwaminifu katika biashara zako.Ukishaanza hbr za PM mkuu zaidi ya kutoa picha kuwa hauko siriaz na tangazo lako bali pia haujiamini au huamini bidhaa au huduma unayoiuza.Aidha unapanga kuwa na bei tofauti kwa Kila mteja. Mbaya zaidi jf ina visitors wengi kuliko members(ambao ndio pekee wanaweza ku pm) Just be serious and observe the marketing principles
Upo sahihi chiefUkishaanza hbr za PM mkuu zaidi ya kutoa picha kuwa hauko siriaz na tangazo lako bali pia haujiamini au huamini bidhaa au huduma unayoiuza.Aidha unapanga kuwa na bei tofauti kwa Kila mteja. Mbaya zaidi jf ina visitors wengi kuliko members(ambao ndio pekee wanaweza ku pm) Just be serious and observe the marketing principles
Upo sahihi chief
Nilimanisha for further DETAILS na picha nying zaid
Naona ujaielewa maana yangu