Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

natafuta vifaa vya kutengenezea chack hasa model anaye jua wapi naweza zipata tafadhali tujuzane kwa 0765310077, nipo kanda ya ziwa Magu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutoka kwa Millard AYO Kaa tayari kwa dili lingine kubwa kutoka TECNO - millardayo.com Kampuni inayoongozwa kwa kuuza simu bora na imara kwa bei nafuu, Tecno kila siku wanaumiza vichwa...
0 Reactions
0 Replies
637 Views
Habarini za leo wanajamii forums, nina kiwanda cha kukamua mafuta ya Alizeti ni kipya na kipo kwenye jengo jipya kabisa katika kijiji cha shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida ambapo ni maarufu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
price:450,000Tsh 0673206639
0 Reactions
5 Replies
864 Views
Kwa wale wa mabanda ya video show na video game.. nina tv chogo nch. 21 aina ya panasonic pamoja na deki ya singsung hd 1 naviuza kwa bei ya kitonga....110k tu kwa vyote, ukitaka kimoja pia...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari wadau nilikua nataka kujua gharama za vyumba vya bei nafuu kwa mwezi huko bellville, capetown SA. Maana nina safari ya kibiashara na nitakaa huko takribani mwezi mmoja kwa yeyote anaefahamu...
0 Reactions
0 Replies
659 Views
Habarini za asubuhi wanajamii forums, nina kiwanda cha alizeti machine mpya kabisa na jengo jipya kabisa lipo shelui wilayani Iramba mkoa wa singida, kiwanda kipo katika miundombinu mizuri pembeni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunauza pilipili hoho kwa jumla na rejareja. Shamba lipo Mkuranga, tuna uhakika wa kuvuna magunia 20 yenye kilo 100 kila wiki. Unaweza kuletewa mahali ulipo au ukanunulia shambani. Pia kama una...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HABARI ZENU WAKUU NATAFUTA SIM AINA YA BLACKBERRY Q20 (CLASSIC) MPYA AU USED KAMA KUNA WADAU WANAFAHAMU ZINAPOPATIKANA NA0MBA MNIFAHAMISHE TAFADHALI
1 Reactions
2 Replies
575 Views
Techno C5 inahitjika mwenye nayo ani Pm please niko dsm
0 Reactions
4 Replies
675 Views
Wakuu naomba anaejua studio nzuri inayopiga picha za kawaida na kuedit maeneo tajwa anisaidie, Sihitaji picha nyingi ni mbili tatu tu nzuri. Asante.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Haina shida yeyote ni nzimA na haijatumika muda sana Laki moja na ishirini tyuuu Kama unaitaka nicheki 0625563813
0 Reactions
1 Replies
641 Views
Haina shida yeyote Ipo kwenye good condition 120,000/tsh ony nichek 0625563813
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Timiza ndoto zako kwa kupata Gari nzuri kwa bei poa sh 5700000 piga no 0715 877933
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NNISSAN MITSUOKA VIEWT,YEAR 2000, CC 1000,KM 140,000.PETROL. BBEI MILLION 12 MAONGEZI YAPO
0 Reactions
5 Replies
812 Views
Tunauza pilipili hoho kwa jumla na rejareja. Shamba lipo Mkuranga, tuna uhakika wa kuvuna magunia 20 yenye kilo 100 kila wiki. Unaweza kuletewa mahali ulipo au ukanunulia shambani. Pia kama una...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza laini za Tigo pesa na vodacom bei nitafute 0713 877933
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa mkazi wa Arusha anayehitaji nymba ya kupanga maeneo ya Engosheratoni, Vyumba viwili,jiko na choo ni vya nje, Umeme ni wa solar,Maji yapo karibu tu na hapo nyumbani, Bei ni maelewano...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ya vyumba viwili vya kulala kimoja master, sebule na jiko inauzwa salasala, ipo kwenye kiwanja chenye ukubwa wa 20m x 20m, haina hati, bei ni Tshs. 30,000,000/= kwa anayehitaji anaweza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom