Wana jukwaa habarini,
Juzi juzi nilieka advert ya kuuza sim humu JF, basi wakatokea watu waka ni PM na mmoja wao alikua anatumia username Deimos, basi akaniambia yupo Tabora na yupo interested na...
Inajicharge yenyewe cjui inakuaje? Nikitoa kwenye chaji bado inaonyesha ile alama ya charging, mwenye utaalam anisaidie plse, cm ni original, c ya kichina
habari..naitaji godoro la dodoma foam inch 8-10...kwa bei ya inch 8(120,000-130,000)inch 10-150,000...
wapi naweza nikapata kwa bei hiyo???
Napatikana tabata kinyerez.z
shukran
Wadau salamu zenu! Ninatafuta kiwanja maeneo ya Majohe kiwe karibu na kwa Ngozoma au Majohe Kichangani. Kiwe na ukubwa wowote.
Natanguliza shukrani wadau.
Salama wakuu katika jukwaa hili
Nina shida na Tv ya Inchi 32 kama kuna MTU ana tawi Kwa Mwanza na Musoma tafadhali
Anicheki Kwa
0767258286 WhatsApp
0789258286
OFA OFA OFA OFA
Ungependa kutengeneza tovuti yako bure sasa na kwa muda mfupi?
Ungependa kupata hosting na space kutosha?
Ungependa kupata domain name bure ?
tzhost inakupa yote hayo pamoja na...
Nyumba ya kisasa parking, Kisima cha Maji safi Gari hadi getini, Ipo km 1 toka darajani/pantoni
Tsh. 500,000 kwa mwezi
Vyumba vitatu kimoja master
Sebule ,Jiko la ndani na nje, choo...
Kwa yeyote anayeweza kunisaidia kupata Monitor ya komputer kuanzia inch 24 na kuendelea ani PM, ila iwe na uwezo wa kutumika kama TV pia kwa kuunganisha King'amuzi na DVD Player
Matikiti bei bora kabisa yame wasili sokoni hapa Tandale
Ndonga fresh za kumwaga 3000-5000 (sikuuzii 6000 staki zambi)
size ya kati 2000-2500
ndogo kiasi -1000-1500
Tukutane soko la matunda...
BAADA YA KUONA AJIRA ZA SERIKALI HAZIAMINIKI , TUMEAMUA KUVUA GAMBA NA KUVAA GWANDA KWA AJILI YA KUWA TAYARI KUFANYA KAZI MAHALI POPOTE TANZANIA!!!
SISI KAMA VIJANA WENYE NGUVU NA UWEZO WA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.