Nyumba ya vyumba viwili, kimoja masta, jiko na sebule inauzwa salasala, imo kwenye kliwanja chenye ukubwa wa 20m x 20m, haina hati, bei Tshs. 30,000,000/- kama unahitaji tafadhali piga simu namba...
Wakuu habari zenu
Naomba kujua bei ya injini iliyotumika yenye maelezo haya injini ni ya Toyota, 1JZ D4D vvti. Naje inauzwa ikiwa pamoja na gearboz au injini pekee?
Wasalaam
Android phones nzuri kabisa zinauzwa kwa bei ya Promosheni.
Inatumia line 2
Front and Back camera available.
MTK MT6735 processor
ARM® Cortex®-A53™ 1.0GHz x 4
1GB RAM
4GB ROM...
Habari bwana jf, kwema? Kama kuna mwenyekuuza lain ya mpesa, Mimi hapa nahitaji kununua kwa ajili ya biashara, Niko tabata dsm, napatikana kwa namba 0717267751, offer yangu ni tsh 150,000
Ni kiwanja chenye hati,kipo bwiru Mwanza karibu na iliyokuwa Golden Gate Hotel maeneo ya Hotpot.bei milioni 25,anaehitaji nicheki kwa Namba #0742159555
Ipo Ilala Mchikichini
100M kutoka barabara kuu
24 Security included kwenye kodi
24 Dawasco water included kwenye kodi
Gypsum
Tiles
Sliding windowa
A c
Hot water
Bei ni 1,100,000
Malipo ni...
Nauza 2003 Nissan March for only 4M
Imetembea Km 130,000
No. C
Automatic
Bei ni 4.5M (Negotiable)
For more info and Picture Inbox Only
NB: SITAKI DALALI
Nina mali sifuatazo nauza
Raum new model namba c 7.3 ziko 4
Nisaan caravan td27 bei 10 tuuze juu
Ist namba c kali sana 8
Rav 4 milango 5 8.3
Discovery 2 14 milion
Noah new model 6.5
Corrola 110...
Choice dry cleaning laundary
Clean clothes,clean life
www.choicedrycleaners.co
Designed by me christian for professional website design contact me
0713239001
Kiwanja kinahitajika chenye vigezo vifuatavyo
1. Kiwe cha kwanza kutoka baharini
2. Kiwe maeneo ya mbezi beach rainbow hapo (nafikiri umeelewa)
3.kiwe na ukubwa usiopungua 2000sqm
4. Bei...
Pata heater zq kukuzia vifaranga kwa bei nafuu, heater hiz huweza kusambaza joto eneo kubwa na kusaidia vifaranga kupata joto nyakat za ucku. Wale wafugaji wakubwa na wadogo heater hz huwasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.