Kuna watu huwa wana-comment post za watu na kusema punguzeni kunywa vibora havina matokeo mazuri kwa afya ya ubongo na kichwa kwa jumla. Nilikuwa siwaelewi kabisa ila kidogo kidogo naanza kuwaelewa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.