Habari wanajamvi,
Poleni na majukumu.
Wanajamvi wenzangu, mimi nipo kijijini huku, nimeiona changamoto moja nahitaji kuifanya fursa, changamoto yenyewe ni ukosefu wa maturubai ya kutundika...
Details of this vehicle
Year: 2001
Capacity: 1490cc
Kms: 24162 (low mileage)
Will arrive in Dar port on 10 March 2012
Offer price is Tshs 14m - no room for negotiation. Please send me your...
Tunauza kuku na kusambaza popote ulipo unafikishiwa kwa mikoa ya Dar, Iringa na Morogoro gharama za usafiri ziko kwetu. Bei zetu ni nafuu sana weka order yako sasa ndani ya siku tatu unaletewa...
Natafuta fundi mzuri wa TV Nina TV yangu LG 46" inawaka kwa kumwekuamwekua baadae inakaa sawa. Ila inaonyesha kama imeongeza mwanga na picha unaona kwa mbali kama kuna ukungu hivi wanajamii.
hi wana jf kwa mwana jf yeyote ambaye anauza blog kwa bei ya sh 10,000 so zaid ya hapo iliyo fresh anibip kwa namba 0678895505 mimi nitamshukia hewani tufanye biashara fastaaa!!!!!!!!!!!!!!
Habari wana JF?
Nashawishika kumiliki Blog lakini sina uelewa wowote kuhusu mambo ya hizo blogs.
Naomba kujuzwa yafuatayo kabla sijachukua uamuzi;
1. Jinsi ya kufungua hiyo blog
2. Jinsi ya...
Nauza asali kutoka tabora ya nyuki wakubwa kwa bei rahisi napatikana dar es salaam...kuanzia litre moja, tano hadi ishirini ... unaweza nitext pm kwa ajili ya bei ...pia napatikana kwa mawasiliano...
Nauza kuku wa kienyeji mtetea waliyotayar kuanza kutaga kwa sh 12,000 tu
Wapo 11
Tuwasiliane kupitia 0758728258
Napatikana dar es salaam,nyuma ya ubungo plaza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.