Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za mchana wanajamii,,kichwa kinajieleza natafuta premio ya kununua ilio kwenye good condition kuanzia DG na kuendelea. Rangi isiwe black. Mwenye nayo naomba anicheki inbox
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mganga halisi anayejua mambo ya mapenzi anahitajika sasa hivi. Tafadhali asikuwe ni tapeli. Tumechoshwa na matapeli
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi niko mwanza nataka kujua kama kuna uwezekano wa kupata kampuni ambayo inauza magari showroom ambapo ntakua naweka Pesa kidogo kidogo hadi ifike kiasi hicho ndo nichukue...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu! Kama unajua mtu anayekodisha shamba maeneo ya Arusha hasa Mushono, naomba mawasiliano yake. Napenda bustani tangu utoto, nilikuwa na kibustani changu hadi siku moja nililisha shule...
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Make : Toyota Model : Landcruiser Prado Mileage : 43000km Engine size : 2700 cc Steering : Right Transmission : Automatic Ext. Color : black M/Year : 2013 Doors : 5 Seats : 5 FEATURES : Driver...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Lipo Mbozi Road chang'ombe, wilaya ya Temeke. Lina ukubwa wa Sqm 1000. Tafadhali piga simu namba 071651595/ 0755092734 kwa maulizo ya bei na mengineyo
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Tunaendelea kutoa huduma hiyo kwa wale wenye eneo dogo ambapo halitosh kuweka mashimo (septic tank na soakaway pit,au eneo lako lina majimaji mengi(high water table level),au unataka kusave...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
100 MT available at Dar esalaam kindly PM me those who are interested
0 Reactions
0 Replies
521 Views
kama upo arusha na una gari ya kuuza spacio namba C-D njoo inbox tuzungumze,offer ni 7.5--8 mil.
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Wadau habarini Natafuta serious buyer wa copper (not copper ore) kindly come inbox for details
0 Reactions
0 Replies
427 Views
Nauza kanga jike na dume jike anawatoto 16 wana umri wa week 2 na nusu nipo kibaha alie tayari an pm bei ni sawa na bure.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SOFTWARE INSTALLATION SERVICES Natoa huduma zifuatazo Windows installation. Zipo windows zote na zote zipo active. Windows xp Windows 7 Windows 8 Windows 10 Ubuntu Os. Pia nafanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ADJUSTABLE MANDOLINE SLICE Hiki ni kikatio kikubwa cha CRISP za viazi,mihogo,ndizi. Pia unaweza kutumia kukatia CHIPS za viazi mviringo na zinatoka vizuri. Unaweza kukatia ,kabichi,karoti,tango...
0 Reactions
2 Replies
16K Views
Air compressor inahitajika kwa matumizi ya kujazia upepo tairi za gari, iwe na lita 50 na kuendelea, inafanyakazi vizuri na oil-less. bajeti tshs 100,000- 250,000 cont: sms 0777 906732/ P.M
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau Heshima kwenu Kama tangazo linavyojieleza, Gari aina ya Noah yenye Number za Usajili T 702 CDR linauzwa kwa thamani ya Tsh Million Tisa (9,000,000). Gari lipo kweny hali nzuri sana na...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
#Bracelets #newcollection #men #women #style bei poa @4900tzs tu kwa jumla. Jumla zinaanzia 20pcs sawa na 98000tzs. Tupo#QUALITYCENTREMALL Wasiliana nasi #0712888884 #0624888884 #0716888884
0 Reactions
3 Replies
842 Views
Back
Top Bottom