Nauza simu One plus 3t

Massawe909

JF-Expert Member
Jan 13, 2017
310
469
Simu kali kabisa ipo kwenye Good Condition used for 2 month haina michubuko.. Price 900,000/=
Internal memory 128Gb
Ram 6Gb
Primary camera 16mp
Secondary camera 16mp
Dual sim
Android 6.1
Price 900,000/=
3678_01.jpeg
oneplus_3_review_00_01.jpeg
oneplus_3_review_01_01.jpeg
IMG-20170113-WA0007_01.jpeg
IMG-20170113-WA0000_01.jpeg
 
Specification tamu ila brand itakuhangusha...
Ukishuka mpaka 400k ni pm tuyajenge.
Hahahaaaa, wewe, unazijua simu lakini? Au unafikiri hiyo ni itel au tecno, hebu pitia gsm arena au ebay uione hiyo simu, au umekariri simu ni sumsung,iphone au nokia? Mkuu kuna simu hazina majina lakini hata sumsung hawaikimbizi kama brand za exiomy,wengine wanauzia majina tu sasa
 
Hahahaaaa, wewe, unazijua simu lakini? Au unafikiri hiyo ni itel au tecno, hebu pitia gsm arena au ebay uione hiyo simu, au umekariri simu ni sumsung,iphone au nokia? Mkuu kuna simu hazina majina lakini hata sumsung hawaikimbizi kama brand za exiomy,wengine wanauzia majina tu sasa
Nilizijua samsung na iphone bila kupitia gsm arena..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom