Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu naombeni kufahaamu juu ya hii simu kwani nataka kuinunua ikiwa mpya dukani pia naomba kufaham kwa dar ntapata sehem gani na pia kuhusu suala la bei je ubora wake na sifa zake ni zipi...
0 Reactions
3 Replies
693 Views
Jipatie mashine ya kichujia maji ambayo haitumii umeme ni rahis kutumia na ni salama kwa asilimia 100 kwa maana ina kipenyo cha micrometer cha 0.2 ambacho hakiruhusu bacteria wala uchafu wa...
0 Reactions
0 Replies
545 Views
One to one instructor for SPECIAL NEEDS kids now available in Dar. Extensive experience in the field of special needs for more than 5 years. Best qualifications and very professional. Now...
0 Reactions
0 Replies
405 Views
Wadau, Nina shida ya chumba cha kupanga self maeneo ya lindi mjini, au mitwero.Pia ikipatikana room mbili za pamoja zikijitegemea kwa umeme na choo nitashukuru. Mwenye nacho au taarifa zaidi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
0713055107 Morogoro 250000/= Tsh
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Yeyote anaeuza au kusikia mtu anauza duka la rejareja apite hapa nahitaji kununua
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana jf tunaendelea na kupachika madirisga kwa bei nafuu. Hii kazi ya mdau wa boko basihaya bronze 8cm kioo one way 5mm. Unasubiri nini tuone infinity works tukufanyie kazi.
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Iphone 5c inauzwa Rangi:nyeupe Memory:8 Gb Nipo dar simu haina tatizo lolote Bei 290k #0675990776
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Mambo zenu,wapi naweza kupata gauni kama hili ila refu lake. kkoo nimezunguka had bas,naomba kutajiwa duka au eneo lenye naweza kupata ndefu yake plz.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Asasi ya PDPR inauza na kukopesha vitotozi vya mayai ya kuku automatic na manual vya mafuta ya taa na umeme, mashine za kuchomelea, kufyatulia tofari, biogas plant (umeme wa choo) mizinga ya...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Bado tu unatumia free emails mf: jinaLaBiashara@gmail.com/yahoo.com na nyinginezo.. Kwanini usiwe na email binafsi kwajiri ya biashara yako? Mfano wa biashara: luzwi na email kuwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Je design ya tovuti yako ipo responsive(responsive design- mobile friendly website)? Fahamu kuwa idadi kubwa ya watumiaji mtandao wanatumia smart phones kuweza pata taarifa mbalimbali katika...
0 Reactions
1 Replies
723 Views
gari inaenda iringa leo tupu inarudi na mzigo. mwenye nzigo kutoka dar kwenda iringa garii hii hapa tani 10 kesho itaondoka tunduru to dar mwenye mzigo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Container tupu mbili zinauzwa 20 na 40 ft 0656582568
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni container 40ft ipo Mwanza mjini bei milioni 7. Kwa anaehitaji. Call 0742159555
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Natafuta laptop used ya kununua kama unayo nichek kwa simu no 0769323746 au 0621081842
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama Upo dsm na unafahamu au unauza projector nzuri na za kiwango cha juu njoo tufanye biashara. Nichek ktk no hiyo
1 Reactions
5 Replies
1K Views
ninauza viwanja vyenye ukubwa kuanzia metre 17.5 kwa 35 hadi heka 10 kwa bei ya mill 4 hadi 30 viwanja au Mashamba yanafaa kwa ujenzi wa Shule, Supermarket, Sheli, na makazi viwanja vinapatkana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Natafuta laptop iwe used ama mpya yenye RAM 4gb na hdd 500gb. Mwenye nayo ani pm kwa mazungumzo zaidi
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za mchakamchaka wa sikukuu Wanajamvi. Naombeni kueleweshwa kwa wale wajuvi. Wakati benki ya CRDB inaanzishwa ilikuwa ikitambulika kama Cooperative Rural Development Bank(Benki ya...
2 Reactions
56 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…