Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naomba kujua kwa wazoefu masuala ya ufugaji wakuu incubator bei nafuu ni tsh ngapi na hupatikana wapi ?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari za ndugu. kama nilivyo ainisha katika kichwa cha habari hapo juu. ninauza Ms Project Package pamoja na jinsi ya kuitumia Program hiyo, katika kuanzisha na kusimamia miradi mbali mbali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu! Naomba kufahamishwa taratibu na gharama za uagizaji wa mashine ya kutotolea vifaranga toka nje ya nchi zinakuwaje ? kodi kam zipo ni kiasi gan? ghrama za bandari pia .
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Wadau nauza kiwanja changu kiko bunju b upande wa kushoto kama unaelekea bagamoyo,pale bunju mwisho unapanda kushoto kama kilometa 3 kwa kutumia ile njia kubwa iliyotengenezwa vizuri siku za...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu leo katika pita pita zangu kwenye mtandao wa kupatana kwa lengo la kutaka kununua smartphone nzuri kwa gharama nafuu ghafla nimekutana na chapisho la muuzaji mmoja akiuza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa tatizo lolote la jiko lako la gas piga +255715673024_ popote ulipo dar es salaam hata kama upo mkoani hudumu itakufikia.P120191_2z.jpgDSC_1802.jpg
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wanabodi, salaam. Nimetoka sasa hivi kupokea simu mbili ambazo nimetumiwa toka nje, moja ni IPHONE 6 PLUS na SAMSUNG S5. Napenda kutumia simu za Samsung, kwa hiyo nimeamua kuuza iPhone 6 plus...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wana jukwaa nahitaji chumba cha kupanga maeneo haya Magomeni, kinondoni B, Temeke, kijitonyama, Kunduchi na Chang'ombe. Budget yangu ni kuanzia elfu 50 hadi 60. Kodi awe tayari...
0 Reactions
4 Replies
880 Views
kwa tatizo lako lolote la jiko lako linalotumia gas popote ulipo piga +255715673024_
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wanajamii wenzangu, Ninashukuru sana kwa michango yenu yote katika toipc iliyopita ya kununua gari kwa kutumia mkopo. Ni matumaini yangu mlijifunza jambo, ingawa kuna ambao walifikiri...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanajf Nilikua nauliza kama kuna mtu ana contact ya fundi mzuri wa jiko la gesi maana naona kama jiko langu halipitishi gesi vizuri na moto unakua sio mkali Natanguliza shukrani
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari wana jf, kama heading inavyojionyesha usikubali kuwa na nguo chafu ukapata stress call 0766898009 nitafika kufua bei ya kufuliwa maelewano
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Wandugu wa JF ninahitaji kununua Premio New Model no D. Iwe na CC 1500. Bei isizidi Million 9. Tafadhali nitumie msg kwenye PM kama una gari ya aina hiyo na ipo kwenye hali nzuri
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Habari za majukumu wakulima na wafugaji. Nahitaji eneo la kilimo na ufugaji ekari kumi. Eneo liwe kiroka mkoani Morogoro. Njoo na bei tafadhali
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Bado mpyaa nauza spare 330000 nipm tufanye biz
0 Reactions
1 Replies
731 Views
Naomba mnitajie kampuni zilizopo hapa Tanzania zinazouza pump kubwa za maji. Hasa kampuni za Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shamba lenye ukubwa wa hekari 10 linauzwa. Lipo kijiji cha Ulaya kata ya Zombo. Karibu Sent from my HTC Desire C using JamiiForums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta mashine ya ku print tshet anaejua zinapo patikana anisaidie anichek no 0718634677/0621017734
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Viwanja viwili Ilala Buyuni. Block C, Size sqmtr 706@ Vimepimwa. Bei: 15M Umbali na Barabara ya lami ni , 0.3Km=(Mita 300) Umeme tayari. Huitaji hata nguzo. Majirani wote wametoboa Maji Baridi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…