Msaada: Nahitaji samaki wabichi

Msaada: Nahitaji samaki wabichi

dihimba

Member
Joined
Dec 12, 2016
Posts
6
Reaction score
2
Habari za mwaka mpya ndugu wana JF,

Kama kichwa cha habari kinavyo sema,

Naomba kufahamu upatikanaji wa samaki wabichi waliohifadhiwa kwenye barafu, lengo langu nataka nisafirishe nipeleke mkoni kuwauzia wachuuzi wadogo na mimi nipo hapa Dar. Tafadhali kama kuna mtu anaufahamu wa kujua ni sehemu gani nitaweza kupata samaki kiurahisi hapa Dar.

Naomba anisaidie (samaki ninaozungumzia ni wale wanaopatikana baharini kama vile kibua nk kulingana na soko ninalopeleka samaki wa majichunvi wanapendwa mno)

Asanteni
 
Kuna soko jirani na Ikulu hapo Da es salaam, panaitwa solo la feli. Nenda hapo ongea na mfanyabiashara yeyote, uzuri watanzania wana upendo sana( kuna wenzetu wameanza kutupandikiza chuki hasa wafuasi wa jamaa yuleee)
Hapo utaambiwa ABC ya biashara hii!
 
Unataka samaki wabichi lakini hujafafanua ni bichi gani.... msasani, koko au micadi!!..
 
Back
Top Bottom