kiwanja kinaunzwa mbweni mpiji block4 715sqm, kiwanja kipo mbele ya soko jipya linalojengwa kipo karibu na shule viwanja vya michezo, nisehemu nzuri.
Bei 40,000,000
mawasiliano
0654545750
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, Mimi ni mfanya biashara wa kusambaza mayai ya kuku wa kisasa.
Tuna uwezo wa kusambaza tray za mayai hadi 300/siku kwa bei nafuu ya shilingi za kitanzania tsh...
Kwa Mahitaji ya UMEME WA SOLAR na UMEME wa BACKUP wenye matumizi yote ambayo mteja anahitaji.
Gharama zetu ni NAFUU na tunatoa warranty ya kutosha.
Wasiliana nasi kwa simu namba...
Wakuu,
Naomba kujuzwa vinakouzwa vitabu vya literature kwa bei ya jumla,
Hasa novels kama vile UNANSWERED CRIES, THE INTERVIEW n.k,
Pia plays kama vile THIS TIME TOMORROW, THE BLACK HERMIT, THIS...
Nahitaji mzalishaji au msambazaji wa Unga wa sembe tufanye Biashara. Mimi nipo Mtwara, karibu kwa aliye tayari tuwasiliane tufanye kazi pamoja.
Namba yangu 0786841164.
Asante
Hamjambo humu?
Naomba kama kuna mtaalam wa mambo ya viwanda vidogo vya kukamua alizeti anisaidie nipate kinu Na filta ya kuchujia alizeti za kiwango kizuri.
Kinu chenye uwezo wa kukamua...
Msichana mwenye uwezo wa kuongea kiingereza fasaha anahitajika; awe kidato cha 4 au 6 au fresh Graduate katika Mass Communications au social science, awe na interest ya kuwa presenter, awe mrefu...
Kichwa cha tangazo hapo juu kinahusika
Sifa ya simu
-Ni original
-Inatumia Laini moja
-16GB
-Ina rangi nyeusi
-Imetumika kwa miezi 6 tu tokea itoke dukani
Bei
-Bei ni Tsh 300,000/=
Sehemu...
Wakuu Salama,
Nipo Dar es Salaam nauza samaki aina ya kambale (catfish) kwa mauzo ya jumla kuanzia nusu tani (500kg) kwa order. Kila kilo ni sh. 6,000. Available are fresh Not frozen / dried...
Residential plot size 800 sqm in an upmarket and extensively developed area of Block `F`, Tegeta. Corner plot, fully serviced with water and electric power utilities, duly accessible, and has a...
Tunauza na kusambaza mchele maeneo tofauti ta jiji la dar es salaam,
Bei=upo wa shilingi1600 na 1900/=
Tunauza kuanzia kilo 10 na kuendelea,
Kumbuka mchele unakufikia hadi mahali ulipo
Karibuni...
Hivi wale wakaguzi wa elimu waliokua wanakuja Darasani wakati ule tulipokua Shule za msingi na secondary hivi Bado wanaenda wakati huu?
Maana tulikua tunaulizwa kama walimu wameingia Darasani na...