Naomba namba zaoPiga saohill timber mafinga
Mkuu mbona zipo nyingi tu buguruni ila uwe makini sana ndugu yangu pale wezi ni wengi mno mimi. Nimemaliza kupaua juzi juzi tu mbao zote nimenunua buguruni ila ni kwa mtu ninayefahamiana naye sana!! Pale usikimbilie bei ndogo utalizwa kwenye futi!! Ubao wa futi 18!!utasomewa futi 30!!!!!!kama upo dar naweza kukusaidia iwapo utahitaji msaada wangu!! Kwenye mbao ni kilio na kamwe hata fundi wako usimuamini huwa wanashirikiana. Na wauzaji.Mi natafuta anayeuza mbao za bei nafuu treated timber za kupaua nyumba yangu.
Nimeku pmMkuu mbona zipo nyingi tu buguruni ila uwe makini sana ndugu yangu pale wezi ni wengi mno mimi. Nimemaliza kupaua juzi juzi tu mbao zote nimenunua buguruni ila ni kwa mtu ninayefahamiana naye sana!! Pale usikimbilie bei ndogo utalizwa kwenye futi!! Ubao wa futi 18!!utasomewa futi 30!!!!!!kama upo dar naweza kukusaidia iwapo utahitaji msaada wangu!! Kwenye mbao ni kilio na kamwe hata fundi wako usimuamini huwa wanashirikiana. Na wauzaji.