Budget Resort
Member
- Mar 24, 2017
- 27
- 12
Karibuni sana
Karibuni sana![]()
Ha ha haaa karibu sana salamu zimefika,ama kweli we ni mdau wetu mkubwa,usijali sana kuhusu hao budget ni sehemu ya wastaarabu hivyo hata wakija nao pia huwa wastaarabu.Umelipia hili Tangazo JF lakini? Yap ni sehemu nzuri sana ya kula bata na hata kupumzika pia na najua hata Mzee na Mwalimu wangu wa Philosophy na Ethics Professor Mwesigwa Baregu hapo ndipo Uwanja wake wa kujidai siku zote akiwa na ile Range yake matata hivi. Ila tatizo kubwa la hapo bhana wala Jamaa zetu wa Oysterbay mkabala na Dstv hapo ndipo huwa Kambi yao Kuu hivyo huwa tunaogopa kuwa nao kwani hawakawii kututolea Bastola sijui Pistol na sisi Wateja kwani sasa hivi ni rasmi Tanzania imeshakuwa ni ya mikono juu mwendo wa mateka.
Nisalimie sana Erick jirani yenu na Mdau wenu mkubwa na wa Kutukuka sana hapo.