Wadau Sabakheri!!
ambaye anafahamu au anvyo hivyo vifaa naomba tuwasiliane au anielekeze wapi naweza kuvipata Anielekeze Nataka kuanza biashara ya PHOTOGRAPHY.
0717421125 TUWASILIANE HAPA
Pia jipatie ujenzi wa nyumba kwa mkopo wa riba ndogo ya 14% na ulipe tartbu hadi miaka miwili na zaidi.
*HABARI NJEMA*
VKP (Real Estate) Company (yenye usajili no. *299964*) iliopo mbezi beach...
Jipatie dagaa wa bukoba namba 1 wasiokuwa na mchanga hata chembe kwa bei ya jumla na rejareja. Tupo dar es salaam. Tupigie kwa namba 0656005004, 0759958244.
NYUMBA ina uzwa iko magomen kagela ni nyumba kubwa haiko mbali na barabara ina vyumba sita ....ina uzwa million 200 kwa maelezo zaidi NJOO PM... wasialiana na mm nikupeleke ukaione mwenyewe ...for...
Zipo ekar 20
Miti ina miaka 2
Bei ni milion 6 na nusu
Zinapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe,
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929,0655726929 na whatsapp 0742188846
Wakuu nilikuwa na biashara yangu ya juice ya miwa ambapo pia nilikuwa nachoma chipsi.Sasa nimeamua kubadili biashara hivyo ninauza Machine nzuri ya kukamulia juice ya miwa iliyo katika Hali nzuri...
Katika kuendelea kuwawezesha Watanzania kupata Makazi kwa njia nafuu kampuni yetu ya cccltd inatangaza ofa kwa makundi mbalimbali kama saccoss ,vyama vya wafanyakazi , waumini wa madhehebu nk ...
Wakuu heshima kwenu,
Kwa mtu ambaye anafahamu au anaifanya biashara ya nguo za mitumba iwe kwa kuagiza nje au ndani ya Tanzania naomba anisaidie. Bei ya nguo za mitumba grade A kwa Tanzania tsh...
Kipo Madale kwa Kawawa,
Kina ukubwa wa Meter 20x20. Kipo kwenye eneo lililopimwa kwajili ya makazi ya watu. Kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Bei Shilingi Milioni Sita na na laki...
Habari jaman wapendwa poleni na majukumu ya kujenga nchi..
Naomba kuuliza kama kuna yoyote humu anaowajua au anayejua zile yard za magari wanaouza pia kwa mkopo kwa wafanya kazi waajiriwa..yaani...
Nauza friji aina ya GRAM.....ni médium Size,friji hii haigandishi barafu ila inapooza TU
Kwa mawasiliano piga 0715591141 dar
Bei 200000/
Ova
Friji hii hapa
Wakuu hii nyumba ipo Nyegez malimbe kiwanja kikubwa nyumba ya Vyumba vitatu choo sebule jiko ipo karibu kabisa na Chuo cha sauti bei mil 35 kimepimwa kwa mwenye kuhitaji Tafadhali chek me kwa sms...
Habarini wana jamvi,
Chumba cha biashara kinapangishwa Dodoma. Kipo maeneo ya airport mkabala na Chako ni Chako, mlango wake unatazama uwanja wa ndege.
Pia kuna kibanda (removable)...