Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kichwa cha habari kinajieleza [emoji736] Iwe na uwezo wa 4G [emoji736] Ikiwa unlocked itakua vizuri zaidi [emoji736] Napatikana Mwanza Nitajie model ya hiyo modem bei na speed yake tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
638 Views
Asap
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Pikipiki: Pasole BOXER 150 Cc:50 bei 800 Vibari vyote vipo Bei ni 800k Kwa mawasiliano piga simu 0688624299
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Bei ni sh 1,500 kwa mche. Ni ya kienyeji. Nipo DAR maeneo ya airport. Piga 0766940202. Ni yellow type.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Za mida wakuu, kama kichwa kinavyo jieleza, moja wapo ya hizo gari nahitaji [emoji117] isiwe imepata ajali - Low/medium mileage /isiwe imetumika sana - Iiwe B, iwe C iwe D zote sawa - isiwe...
0 Reactions
3 Replies
808 Views
Jipatie begi za laptop, wallet za kike, begi za safari kwa bei poa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarbya asubuhi ndg zangu, Kuna mti aina ya mtopetope unafanana sana na mstafeli nawengne huuita mstafeli wa kiswahili ila wenyewe hutoa matunda madogo na matunda yake hyana vipele juu kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Engine Cc. 1290 km 105000 Bei mil 8500000
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Nahitaji gunia 100 za vitunguu. Bei isiwe juu ya Shs 35000.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za muda huu ndugu zangu, Hii ni GARLIC PASTE Kitunguu swaumu kilichosagwa na kusingikwa, Ni product ya Tanzania Ni Tsh5000 tu Pia nauza kwa Jumla 0714547830- napatikana dar
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Nauza pikipiki aina ya Fecon 125,ikpo vizuri kabisa,haidaiwi.Bei ni 1.2m Tel: 0685408722
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Salaam wana JF! ****** Nimepoteza/kuibiwa laptop bag ikiwa na laptop aina ya Dell na external hard disk kwenye bus la Abood, j4 tarehe 14. March nikiwa safarini usiku, Morogoro=> Dar. Zawadi ya...
0 Reactions
4 Replies
910 Views
Naomba kujua Wapi naweza kupata Gari km Toyota hilux.au Nissan patrol.au Gari Lolita linalofanana Na. Hayo Kwa njia Ya mnada?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Simu ni mpya kbsa sijawah hata kuitumia nauza kwa bei ya kutupa 200k tu bei haipungui anayehitaji karbu PM niko dar Simu ina 4G
0 Reactions
3 Replies
4K Views
wakuu, habarin za asubuhi Natafuta Passo namba C, iwe kwenye hali nzuri, imelipiwa vibali vyote nicheki 0652567568 WhatsApp
0 Reactions
10 Replies
965 Views
Habari Jf, Nauza digital balance na mineral hydrometer kwa bei nafuu, Napatikana kwa namba 0717 550291 au njoo pm.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza Laptop aina ya Dell yenye 160gb disk 2gbRam 4.2procesor ina camera mbele inatunza chaji masaa 3 ina tatizo moja kioo kina risk..bei maelewano piga simu 0715673024 napatikana dar es salaaam.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
HABARI NJEMA KWAKO! Je, Wewe au Ndugu yako Amemaliza kidato cha Nne na amepata alama D"tatu za masomo yoyote? KP" PROFFESSIONAL SERVICES (KPS) kwa kushirikiana na Bodi ya manunuzi na Ugavi (PSPTB)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zanu wana jamvi, Nauza simu hiyo iPhone 6s plus colour black, 128Gb. Bei 1.6m, if interested PM. Thanks
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom