Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za wakati huu JFs. Kwa wale wakazi wa Mwanza, wahitaji wa mayai ya jumla ya kienyeji kwa trey yenye mayai 30 kwa 12000. Tuwasiliane 0769321005. Mfahamishe na mwenzio From Bukoba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
D.C.T house of creative ni watengenezaji na wauzaji wa viatu vya kimasai vya ngozi kwa jumla na rejareja. Tunatengeneza viatu vya kike, kiume na watoto, viatu vya jumla vianaanzia pea 10...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
Kwa mteja atakayeitaji sungura wa biashara anaweza wasiliana kwa namba izi 0718 04 02 08 bei zangu ni nafuu kuliko kwa wauzaji wengine sungura wapo salama kiafya na uzito unaoitajika kalibun .
0 Reactions
12 Replies
6K Views
kuku wako 60 wana miezi mi 5 wana afya nzuri mwezi ujao wanaweza anza kutaga kwa wachinjaji tetea wana kg 1 hadi moja na nusu jogoo 2kg---->> nina wapunguza punguza ili niwatunze wengine...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Misc Specifications. Processor Intel core i7 @2.8Ghz. Ram 8gb. (DDR 3/1333Mhz) Storage Hdd 750Gb. 13inc LCD screen. Intel Hd 3000 card graphics. Price Tsh 1,400,000. Excellent condition...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bajet 60k,, iwe kwenye hal nzur tu. Serious sellers wanichek on 0653205817
0 Reactions
0 Replies
415 Views
nashusha kilometre za.magari na pikipiki kwa sh 100000 njoo pm kwa maelezo zaidi. karibuni wote
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Habarini za usiku wa Leo.kiwanja chenye title ya industrial kinauzwa kunduchi kama unaelekea bahari beach karibu na chuo cha usalama.kina sq m 7400.ambae atapenda kukiona au kujua bei anicheki
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Javis internationa trade tumeongeza huduma ya tiketi za ndege kwa wateja wa ndani ya nchi na wateja wa nje za nchi kokote tunakata...piga 0769061198 ofisi zetu ziko jengo la ushirika lumumba...
0 Reactions
4 Replies
967 Views
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya Tandika Azimio ni ya ghorofa moja tafadhali kwa anayehitaji piga simu 0656539377
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mi nikijana najishughurisha na shughuri ya kupika vyakula ni proffessional katika hii kitu naomba tenda kama shule ofisini au hospital nimejikamilisha kwa kila kitu msaada jamani
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini wakuu. Natumai mko poa, Msimu wa kupanda unakaribia, hivo nimeonelea ni bora kutafuta gari nzuri ya kwenda mashambani hasa msimu wa mvua ambapo pikipiki inakulazimu kunyeshewa. Budget...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Bei 800* and Pasole piga simu 0659254 pigasimu 0659254488
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Nyumba mbili mpya za kisasa vyumba vinne kimoja master jiko sebule na store room..ukubwa wa eneo ni 25*30 viwanja vime pimwa na vina hati..milango na madirisha ya grill tayari. Nyumba moja ina...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nipo Dar Kigamboni. Mwenye mbegu tuwasiliane tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji Toyota Premio yenye namba D iliyokatika hali nzuri mawasiliano 0625550961
0 Reactions
5 Replies
910 Views
Je unataka nyumba yako ipendeze na na kuonekana katika mwonekano Wa tofauti? Bila shaka jibu ni ndiyo, Tunapaka rangi,, kuskimu, wallmaster, na kila kinachohusiana na rangi, hata kama nyumba...
0 Reactions
1 Replies
832 Views
baada ya kukusanya mayai ya kutosha ...Natangaza Rasmi Leo Kuwa wale wapenzi wa nyama ya kuku sasa inapatika kwangu ...nauza kuku ....kwa maelezo zaidi Kama ungependa kuwapata 0657033804
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwanja kipo kwa mromboo maeneo ya "kwa mwenyekiti" maeneo ya dampo kama unaelekea check point au shule ya intel. Bei 3.5M(Negotiatable) Ukubwa mita 17 x 10 Contact 0758293598
0 Reactions
12 Replies
1K Views
For Sale Apple Macbook Pro... MacBook pro (15-nch, Mid 2010) Processor 2.53 GHz Intel Core i5 Memory 6 GB 1067 MHz DDR3 Graphics NVIDIA GeForce GT 330M 256 MB Capacity - Hadr Disk 500Gb...
0 Reactions
1 Replies
954 Views
Back
Top Bottom