House4Sale Anayehitaji kununua apartment Upanga

Feb 2, 2017
35
10
IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na mzumbe university,mtaa wa mfaume, na unaweza kutumia mwendo kasi kwa usafiri wa haraka, mauzo hayo ni kwa bei nafuu kabisa karibu piga namba 0766627538

KARIBU MILIKI APARTMENT YAKO. UNAKARIBISHWA HATA KUFIKA KUANGALIA TU.
 

Attachments

  • IMG_20170106_134947.jpg
    IMG_20170106_134947.jpg
    202 KB · Views: 150
  • 15942542_1241598692596778_1265528851_o.jpg
    15942542_1241598692596778_1265528851_o.jpg
    43.3 KB · Views: 147
  • 15934314_1241617825928198_978477421_o (1).jpg
    15934314_1241617825928198_978477421_o (1).jpg
    42.4 KB · Views: 133
  • 15935290_1241598379263476_649812837_o.jpg
    15935290_1241598379263476_649812837_o.jpg
    52.4 KB · Views: 137
  • 15935462_1241617845928196_217578709_o.jpg
    15935462_1241617845928196_217578709_o.jpg
    47.9 KB · Views: 140
IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na mzumbe university,mtaa wa mfaume, na unaweza kutumia mwendo kasi kwa usafiri wa haraka, mauzo hayo ni kwa bei nafuu kabisa karibu piga namba 0766627538

KARIBU MILIKI APARTMENT YAKO. UNAKARIBISHWA HATA KUFIKA KUANGALIA TU.
Duniani kote bei za nyumba uweka hadharani sijui why Watanzania atuna tabia hii. please weka bei
 
IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na mzumbe university,mtaa wa mfaume, na unaweza kutumia mwendo kasi kwa usafiri wa haraka, mauzo hayo ni kwa bei nafuu kabisa karibu piga namba 0766627538

KARIBU MILIKI APARTMENT YAKO. UNAKARIBISHWA HATA KUFIKA KUANGALIA TU.
Tatizo la kununua apartment ni kwamba "monthly service fees" wakati mwingine ni sawa na bei ya kupanga kwenye "high density". Kama utanilipisha TZS 200,000 kwa mwezi kwa mtaafu hapo namiliki nyumba au namilikiwa?
 
Kumbe tunaishi na watu wanaoweza kuishi maisha mazuri namna hii.. Me Sina hela Ila na shauri muuzaji aweke bei.. Wabongo tunajua bwana!
 
Back
Top Bottom