Nauza nyumba nina emergency

empress

Member
Sep 14, 2013
39
19
Ninauza nyumba ipo keko mwanga MSD..haijaisha vizuri ila ina wapangaji wawili..kama ikimaliziwa itakuwa na vyumba 6 na frames 2..ni eneo la makazi ina leseni kabisa..nina shida ya dharura sana..nauza milioni 25 tu..kama ni serious buyer ni PM..dalali asinitafute kabisaaaa...nimedili na madalali tangu january wamenifukuzia wateja wengi kwa kupandisha bei kwa wateja hadi mara mbili ya bei niliyowaambia..nyumba iko mjini kabisa..yaan posta au kkoo..au mnazi ni kwa miguu tu wala hautaji usafiri..kama ukipanda boda mpaka posta ni buku mbili..na kkoo buku moja..utafanya due diligence zote kujiridhisha kabla ya kununua....kwakweli kama ni dalali USINIPM tafadhali..kuna walionitafuta kama real estate developers..as if wao ndo wananunua na kupangisha au kuuza kumbe na wao ni madalali..wanaenda kutafuta wateja na wanadai commission..kwakweli sintadeal na wewe pia....
 
Yaan natamani kama mwenye interest nimpeleke..sababu ni nyumba ambayo kwa nje upande wa mbele zimekaa frames..wa nyuma ni ukuta mrefu ..hakuna picha ambayo naweza nikaipiga ikakuonyesha ukubwa halisi..na vyumba 6 vikaonekana..unless ipigwe kwa drone..natamani mtu aione ndo ataelewa vizuri...ni pale tu nyuma ya mkuki house kwa mtu aliye mjini ni karibu mno...mim binafsi nitakupitia sehemu ulipo nikupeleke usiingie gharama ya usafiri
 
Mkuu hao wapangaji wako humo ndani vipi? unatuuzia ama
Ni maelewano yenu ..kama unataka kuimalizia unaweza waondoa..wako aware kwamba nyumba inauzwa..na sijachukua kodi miez miwili kuwapa nafasi ya kutafuta kwingine au kumsikilizia owner mpya...
 
Ninauza nyumba ipo keko mwanga MSD..haijaisha vizuri ila ina wapangaji wawili..kama ikimaliziwa itakuwa na vyumba 6 na frames 2..ni eneo la makazi ina leseni kabisa..nina shida ya dharura sana..nauza milioni 25 tu..kama ni serious buyer ni PM..dalali asinitafute kabisaaaa...nimedili na madalali tangu january wamenifukuzia wateja wengi kwa kupandisha bei kwa wateja hadi mara mbili ya bei niliyowaambia..nyumba iko mjini kabisa..yaan posta au kkoo..au mnazi ni kwa miguu tu wala hautaji usafiri..kama ukipanda boda mpaka posta ni buku mbili..na kkoo buku moja..utafanya due diligence zote kujiridhisha kabla ya kununua....kwakweli kama ni dalali USINIPM tafadhali..kuna walionitafuta kama real estate developers..as if wao ndo wananunua na kupangisha au kuuza kumbe na wao ni madalali..wanaenda kutafuta wateja na wanadai commission..kwakweli sintadeal na wewe pia....
Uza emegency
Nyimba baki nayo
 
weka picha mkuu na ikiwezekana tuambie kama ufikaji kwenye kiwanja ni rahisi au ndiyo unaach gari mbali na kutembea kwa mguu.
 
Ninauza nyumba ipo keko mwanga MSD..haijaisha vizuri ila ina wapangaji wawili..kama ikimaliziwa itakuwa na vyumba 6 na frames 2..ni eneo la makazi ina leseni kabisa..nina shida ya dharura sana..nauza milioni 25 tu..kama ni serious buyer ni PM..dalali asinitafute kabisaaaa...nimedili na madalali tangu january wamenifukuzia wateja wengi kwa kupandisha bei kwa wateja hadi mara mbili ya bei niliyowaambia..nyumba iko mjini kabisa..yaan posta au kkoo..au mnazi ni kwa miguu tu wala hautaji usafiri..kama ukipanda boda mpaka posta ni buku mbili..na kkoo buku moja..utafanya due diligence zote kujiridhisha kabla ya kununua....kwakweli kama ni dalali USINIPM tafadhali..kuna walionitafuta kama real estate developers..as if wao ndo wananunua na kupangisha au kuuza kumbe na wao ni madalali..wanaenda kutafuta wateja na wanadai commission..kwakweli sintadeal na wewe pia....
Pole sana mkuu.Hiyo naamini itakuwa ni dharura isiyoweza kuwa deferred,maana dah,kuuza nyumba.
 
Ninauza nyumba ipo keko mwanga MSD..haijaisha vizuri ila ina wapangaji wawili..kama ikimaliziwa itakuwa na vyumba 6 na frames 2..ni eneo la makazi ina leseni kabisa..nina shida ya dharura sana..nauza milioni 25 tu..kama ni serious buyer ni PM..dalali asinitafute kabisaaaa...nimedili na madalali tangu january wamenifukuzia wateja wengi kwa kupandisha bei kwa wateja hadi mara mbili ya bei niliyowaambia..nyumba iko mjini kabisa..yaan posta au kkoo..au mnazi ni kwa miguu tu wala hautaji usafiri..kama ukipanda boda mpaka posta ni buku mbili..na kkoo buku moja..utafanya due diligence zote kujiridhisha kabla ya kununua....kwakweli kama ni dalali USINIPM tafadhali..kuna walionitafuta kama real estate developers..as if wao ndo wananunua na kupangisha au kuuza kumbe na wao ni madalali..wanaenda kutafuta wateja na wanadai commission..kwakweli sintadeal na wewe pia....
Haiko karibu na RELI ?
 
Back
Top Bottom