Wakuu salam,
Hiii gari aina ya nissan civilian bus ilikuwa inauzwa 16, imeshuka bei hadi 12M (kwa hati ya dharura[emoji3] [emoji3] [emoji3] )na mazungumzo yapo. Wakuu changamkieni gari hii ni...
Wakuu...... Nimeona fulsa ktk sector ya picha esp still picture.
Natafuta photographer nzuri niweze kjifunza toka kwake. I'll pay kama atakavyohitaji.
NB
AM LOOKING FOR THE BEST...
Habari rafiki, kijana,ndugu,mfanyabiashara, wahitimu wa vyuo na watanzania wote kwa ujumla.
1.Je ungependa kuungana nami katika huduma mpya ya kusafisha sink za toilet, za kunawia na vigae kwa...
Ukinunua kiwanja kupitia kampuni yetu ,tutakupa Mkopo wa tofali 1000 za kuanzia ujenzi, tunaweza kukupa Mkopo kwa awamu hadi unamaliza nyumba, ( Mkopo wa vifaa sio pesa)
* bei kuanzia Mil 5.8...
Afro Animations inawatangazieni offer hii ya punguzo la bei kwa wanaotaka kutengeneza Logo za kampuni, mashirika, vyama, na logo binafsi. Logo hizi zitatengenezwa jinsi utakavyo taka (2D/3D)...
Habari wakuu wangu, naomba mwenye uzoefu wa bei za simu natumani humu jf wajanja ni wengi mno mimi nahitaji kuagiza pesa nikanunuliwe simu aina ya huawei p9 nlikua naomba nifahamu japo bei ili...
Kampuni ya cccltd inawatangazia watanzania wote wenye kutaka kumiliki Makazi yao na kuachana na adha za upangaji , tumewaletea mpango rahisi sana , NUNUA KIWANJA KWETU CASH, Tutakukopesha tofali...
Habari?
Simu ipo sokoni inauzwa kwa Tshs. 270,000/=.
Simu haina scratches zozote na ipo complete ikiwa na vifaa vyake vyote kama vile ear phone na charger.
Simu ipo Dar na kwa anayehitaji...
HK ADVENTURES & TOURS imeandaa safari ya kwenda kuitembelea hifadhi ya MIKUMI tarehe 15/04/2017 kwa gharama ya elfu 47,000 Tsh. Ambayo itahusisha usafiri,tozo ya hifadhi na vinywaji.
Kwa Maelezo...
Habari wakuu,
kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninauza kiwanja changu kilichopo bagamoyo, eneo la Nzole kitalu A, kiwanja kina ukubwa wa mita za mraba 846. Kipo mita 300 kutoka barabara kuu...
USIPITWE NA FURSA ILIYOPO KATIKA PESA ZA KIDIJITALI BADO SIKU 5
Dunia inakimbia kwa mwendo kasi wa ajabu, sasa inahama kutoka matumizi ya pesa za kushikika (physical) kwenda fedha ya kidigitali...