Karibuni sana kwenye restaurant yangu

A2Zlove

Member
Jan 17, 2016
11
3
Habari wadau.
Nina ofisi ambayo nimeifungua mwezi uliopita. Ni restaurant lakini pia inatoa huduma za catering. Ofisi zipo kawawa road opposite The Open university of Tanzania. Kwa sasa bado natafuta masoko hasa ya catering katika shughuli mbalimbali. Pia tunajihusisha na bakery & pastry products. Kwa yeyote anayehitaji huduma hizi anakaribishwa sana.
 
Back
Top Bottom