Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

[emoji121] WAKUU, KWA ANAYEJUA UTARATIBU WA KUPATA LINE YA TIGO YA KUFANYIA BIASHARA YA KUUZA VOCHA ZA KURUSHA AU KUUNGANISHA VIFURUSHI ANIJUZE. NA KWA ALIYE/ANAYEFANYA HII BIASHARA ANIJUZE FAIDA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Chuo cha teknolojia na ufundi KIITEC kilichopo Arusha, kinawatangazia wahitimu wote wa shule ya sekondari nafasi ya kujiunga na kozi za diploma na cheti. chuo kinatoa diploma inayotambuliwa na...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Natafuta NYUMBA YA kupanga Maeneo bugharika au budhuruga. Chumba na sebule self au Choo YA nje yenye hadh nzuri
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwenye uhitaji wa matangazo ya design kama hili kwenye picha, professional ndani ya masaa 24...Bei 3,000...na kwa Tsh. 5,000 nitakuwekea kwenye... biasharabusiness.com... na fb, whatsapp, tweeter...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, natafuta mtu wa kufungua nae maabara kwa ajiri ya tution ya vijana wa secondary ngazi zote, sifa ya mtu huyo awe ni mwalim mwenye ujuzi na issue hizo, au...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nyumba hii ipo kibamba kwa mange karibu na kibamba hospitali. Maelezo mengine ni kama ifuatavyo. 1. Hati-Haipo 2.Design ya nyumba ni two in one..kila upande ukiwa na vyumba viwili vya kulala..zote...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nyumba ipo Twangoma mwapemba km 2.5 kutoka barabara ya kigamboni Vyumba 3 vikubwa kimoja master Sebule kubwa Dining Jiko Choo cha public Eneo la kiwanja ni 40*25 Eneo la kujenga nyumba...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
inauzwa mln 7.8(fixed) Kwa mawasiliano piga sim 0715591141 dar,magomeni
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Make : Toyota Model : IST Mileage : 91,914km Engine size: 1,490cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2002 Doors : 4 Seats : 5...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Make : Toyota Model : Harrier Mileage : 160,421km Engine size: 2,990cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 1999 Doors : 5 Seats ...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendwa, Naomba mnisaidie, nahitaji kwenda zanzibar kwa mara ya kwanza nikiwa na wife kwa ajili ya kuiona zanzibar. Naomba kuelekezwa hotel ya bei ya kawaida ambayo ina mazingira mazuri...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Wapendwa bado sijapata kiwanja eneo la majohe. Mwenye msaada wa kupatikana kwa kiwanja tafadhali. Ukubwa wa 40" * 25" au zaidi ni nzuri zaidi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanakijiji wa wilaya ya Mkuranga,Pwani wamepima maeneo yao na kuamua kuuza kwa bei rahisi sana.Viwanja vimepimwa vizuri,vimekatwa barabara za mitaa na vipo eneo zuri,mabomba ya maji...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuna nyumba nzuri inapangishwa Arusha , ipo mwanzoni mwa Nambere na Sekei, ina master bedroom kubwa,vyumba viwili vya kulala-makabati ya ukutani yapo,sebule na dining kubwa,jiko la...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF Naomba kufahamu ni center zipi kwa mkoa wa Dar es salaam wanatoa mafunzo ya computer? Na ada zao zipoje? Kwa anaefahamu naomba kujuzwa Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Iwapo una kazi inayohitaji Translation au editing, karibu sana. Inaweza kuwa ni: - muswada for editing - kitabu (for translation) - ripoti for editing - movie for subtitling nk.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Zipo tani 7.8, zinapatikana songea lundusi. karibuni sana. Mwenye kuhitaji ani pm.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wandugu, Mwenye uhitaji wa lift kwa ajili ya jengo lake tafadhali wasiliana nami.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…