kwelakenya
Member
- Jan 21, 2010
- 59
- 6
Hivi jamani,wapi naweza kupata credit card hapa Tanzania?Au njia yeyote ya ku make payment online?
Hivi jamani,wapi naweza kupata credit card hapa Tanzania?Au njia yeyote ya ku make payment online?
u cant
u cant
Exim wana credit card lakini lazima uweke deposit half unapewa credit 80% ya deposit uliyowapa. They will give you interest though on your fixed deposit. There offer both MasterCard or VISA.
I use CRDB lakini lazima kwanza uwajazie fomu fulani hivi.
Kama wewe ni mteja wa CRDB nenda tawi lolote unajaza form baadae watai-activate card yako. Mimi nilifanya hivyo na nimeshanunua vitu toka nje ya Tanzania mara nyingi tu bila matatizo. Kwa sasa nipo nje ya nchi lakini still naweza kutumia my pesa zilizoko bongo kununua vitu online.
Kama.lengo ni online payments check bancABC watakupatia kafi gharama 15000 huitaji kuwa hata na.acc utaweka ela via tgo pesa au mpesa utafanya online payments ukitaka itoa utaitolea atmHivi jamani,wapi naweza kupata credit card hapa Tanzania?Au njia yeyote ya ku make payment online?