Nauza asali mbichi

Nauza asali mbichi

pricaso

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
249
Reaction score
298
Wanajanvi habari zenu, poleni na majukumu,
Nina asali mbichi nauza Lita moja kwa Tsh.13000/= ni asali ambayo haina mchanganyo wowote mfano maji na vitu vingine vinavyo pelekea kuharibu ubora wa asali, Nipo Dar es Salaam Mwananyamala, maeoneo ya

a1503905b28f410a236e1af4deb2507d.jpg


The Corner stone which was rejected by Jewish.
 
kwa ushauri kua creative kwa kufanya branding and labeling

Post sent using JamiiForums mobile app
 
kwa ushauri kua creative kwa kufanya branding and labeling

Post sent using JamiiForums mobile app
Asante Mkuu ushauri wako naufanyia kazi.

The Corner stone which was rejected by Jewish.
 
mkuu naweza fanya biashara na wewe

Post sent using JamiiForums mobile app
 
mkuu naweza fanya biashara na wewe

Post sent using JamiiForums mobile app
Nimeweka mawasiliano Mkuu unaweza nicheki tuongee zaidi.

The Corner stone which was rejected by Jewish.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom