Habari zenu,
Husika na habari hapo juu..
Mwenye pikipiki used ya aina yeyote anayoiuza ani-pm
Iwe imetumika kwa kpndi kisichozidi mwaka mmja
Iwe na vibali vyoote
Atleast iwe bado in a good...
Nauza viwanja vipo vitatu Bunju b umeme na maji ya dawasco yapo viwanja vipo location nzuri sana ,40*40 mil 12 vipo 2 halafu 20 kwa 30 mil 8 vyote vinadocument za serikali ya mtaa karibuni sana...
Habari ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kuwa nyumba inauzwa, Nyumba hiyo ipo eneo la kivule, banana dar es salaam.
Nyumba hyo ina vyumba vitano ndani,
Master...
KOKOTO BORA ZA UJENZI TOKA LUGOBA..
Tunasambaza kokoto bora kabisa kutoka Moja kwa Moja kwenye Karasha letu Lililopo LUGOBA, Kokoto zetu ni bora kabisa inayozalishwa kutoka katika Mashine za...
Kama ww bado hujapata kiwanja kwaajili ya kuandaa makaz yako hii siyo ya kukosa,
Jipatie sasa kiwanja ndan ya jiji la dar Kwa bei ya sawa na bure,,
Ni chatembo mwandege nyuma ya kiwanda cha...
Zawadi Nono na ofa za kutosha Kwa madereva na watumiaji , ingia leo upate ofa yako. Sasa dereva wa uber Una weza para tsh 450000 pale tu utakapo munganisha dereva mwezako.kwa maelekezo zaidi...
Rejea kichwa cha habari, Simu yoyote yenye sifa hizi:
*Display size 5.3" inches
*Removable battery
*Duos (Sim Card)
*Primary Camera not less than 13MP, Secondary Camera not less than 8MP
*OS...
Wakuu, salaam
Gari ya kampuni inauzwa kwakuwa imeshafikisha miaka 5, mtumiaji tangu imenunuliwa si MTANZANIA, ni MANUAL TRANSMISSION
Rangi Nyeupe
Mileage ni 49000km
Reg ni T2..CHV
Bima inaisha...
Habari wakuu?.
Ninauza laini(TILL) kwaajili ya huduma za M-PESA na AIRTEL MONEY.
1. M-pesa naiuza kwa sh 150,000/=
2. Airtel money sh 130,000/=
Kwa anayehitaji tuwasiliane inbox tufanye biashara...
DAGAA WATAMU
Habari zenu, kwa wale wakazi wa dar pata dagaa safi na watamu wa kukaanga kutoka mwanza kwa bei ya sh 2000 tuh kwa pakti, derivery ni bure ndani ya dar es salaam kwa mawasiliano...
Ina vyumba vitatu, dinning, sittingroom na master moja.
Sehemu kuwa ya parking.
Mahali: Salasala Kilimahewa
Bei: 65 Milion
Simu. 0784 01 11 01
0652 34 44 18.
Sent using Jamii Forums...
Wakuu habari za majukumu ya kujenga taifa,
Kama kichwa cha habari kinavyosema, ninatafuta shamba la kununua, liwe maeneo ya ruvu, chanika, kuanzia mwanzo mgumu. Pia itakuwa vizuri likiwa halipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.