Nina project ya nguruwe kwenye plot ya 1600 Sqm.nguruwe wapo 34.asilimia kubwa wengi ni majike.wawili tayari wana mimba na wawilitumewapandisha.madume wako Kama 8.project ipo bagamoyo...
Habari,nauza eneo na banda la kufugia Nguruwe, bagamoyo,eneo ni zuri 1600sqm,malipo kwa installement kwajili ya eneo inawezekana na endapo unamaliza intallment ya mwisho unapewa na hati kabisa ya...
Naomba kama kuna mtu anafahamu bei ya mbegu ya alizeti kwa debe moja au gunia ni sh ngapi tuwasiliane.
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
Habari wakuu kama kunamwenyeji wa handeni naomba msaada wa kupata eneo la heka moja linalofaa kwa ufugaji wa kuku na mbuzi na kama kunaanaye hitaji kushirikiana kwenye hili anakaribishwa pia
Tuanauza Windows Kwa Ajiri ya Computer.
Windows 10 aina zote
Windows 8 aina zote
Windows 7 aina zote.
WINDOWS ZOTE NI FULL ACTIVATED
Pia Tunauza TEMPLATES {THEMES} kali ka ajiri ta blog.
TUCHECK...
.....
Kifungu cha 34(1)(a) cha sheria ya ardhi kinasema mkataba wwte wa kuhamisha umiliki wa ardhi (kuuza,kununua) au kuweka rehan ardhi utalindwa na sheria iwapo utakuwa ktk maandishi.
#NINI...
Nissan Patrol
Mwaka 1988
Manual
Injini TD42
Cc 1838
Mileage 437934
Ac inafanyakazi
Gari inahitaji kubadilishwa piston ring lakini inawaka na kutembea
Bei Tzsh 4,000,000/= Gari ipo Tanga mjini...
Lipo eka 5
Bei ni million 8 na nusu
Aina ya Miti iliyopandwa ni pine
Miti ina umri Wa miaka 6
Kwa mawasiliano nipigie 0764426929,0655726929 na0742188846
Napatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoan...
Wakuu habari zenu,natumai hamjambo. Naomba kujua mwenye dondoo kuhusu soko la maziwa fresh. Nina chanzo cha kuaminika kusupply kati ya lita 80 hai 100 k2a siku
Sent from my SM-A510F using...
Make : Subaru
Model : Legacy B4
Mileage : 112,090km
Engine size: 2000cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2005
Doors : 4
Seats...
Salaam wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji Tv flat screen iwe used au mpya ila bei yake isizid laki moja na ishini za kitanzania(Tsh.120,000/=) size yake itategemea ila ni vizur...
Jipatie kitabu cha kujifunza kuongea lugha kichina ndani ya week mbili kwa kutumia lugha ya kiswahili na kiingireza,ni kitabu na CD,bei sh.10,000 tu.piga simu kwa mahitaji au kuwekeza 0757464131...
Kwa wale wapenzi na walaji wa chakula cha kutoka Baharini km Prowns, Kambakochi KingFish na Pweza.
Kwa huduma bora
1: Unaletenewa hadi ulipo
2: Unatengenezewa vizuri
Kwa mikoa yote Tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.