Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina project ya nguruwe kwenye plot ya 1600 Sqm.nguruwe wapo 34.asilimia kubwa wengi ni majike.wawili tayari wana mimba na wawilitumewapandisha.madume wako Kama 8.project ipo bagamoyo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari,nauza eneo na banda la kufugia Nguruwe, bagamoyo,eneo ni zuri 1600sqm,malipo kwa installement kwajili ya eneo inawezekana na endapo unamaliza intallment ya mwisho unapewa na hati kabisa ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kama kuna mtu anafahamu bei ya mbegu ya alizeti kwa debe moja au gunia ni sh ngapi tuwasiliane. Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu kama kunamwenyeji wa handeni naomba msaada wa kupata eneo la heka moja linalofaa kwa ufugaji wa kuku na mbuzi na kama kunaanaye hitaji kushirikiana kwenye hili anakaribishwa pia
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Tuanauza Windows Kwa Ajiri ya Computer. Windows 10 aina zote Windows 8 aina zote Windows 7 aina zote. WINDOWS ZOTE NI FULL ACTIVATED Pia Tunauza TEMPLATES {THEMES} kali ka ajiri ta blog. TUCHECK...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
..... Kifungu cha 34(1)(a) cha sheria ya ardhi kinasema mkataba wwte wa kuhamisha umiliki wa ardhi (kuuza,kununua) au kuweka rehan ardhi utalindwa na sheria iwapo utakuwa ktk maandishi. #NINI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nissan Patrol Mwaka 1988 Manual Injini TD42 Cc 1838 Mileage 437934 Ac inafanyakazi Gari inahitaji kubadilishwa piston ring lakini inawaka na kutembea Bei Tzsh 4,000,000/= Gari ipo Tanga mjini...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Lipo eka 5 Bei ni million 8 na nusu Aina ya Miti iliyopandwa ni pine Miti ina umri Wa miaka 6 Kwa mawasiliano nipigie 0764426929,0655726929 na0742188846 Napatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoan...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu namtafuta huyo muhusika, au kama kuna mtu anaweza tengeneza hiyo tovuti anicheki 0716978592
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Wakuu habari zenu,natumai hamjambo. Naomba kujua mwenye dondoo kuhusu soko la maziwa fresh. Nina chanzo cha kuaminika kusupply kati ya lita 80 hai 100 k2a siku Sent from my SM-A510F using...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Make : Subaru Model : Legacy B4 Mileage : 112,090km Engine size: 2000cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2005 Doors : 4 Seats...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ibm Lennovo, core i5, RAM 8GB, HDD 500GB iko vema sana. Bei 450000(maongezi yapo) call 0762295954/0713794962
0 Reactions
9 Replies
777 Views
Salaam wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji Tv flat screen iwe used au mpya ila bei yake isizid laki moja na ishini za kitanzania(Tsh.120,000/=) size yake itategemea ila ni vizur...
0 Reactions
14 Replies
45K Views
Jipatie kitabu cha kujifunza kuongea lugha kichina ndani ya week mbili kwa kutumia lugha ya kiswahili na kiingireza,ni kitabu na CD,bei sh.10,000 tu.piga simu kwa mahitaji au kuwekeza 0757464131...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa hili, Heshima zenu wakuu. Mimi nimelima ufuta wangu na nimevuna sasa natafuta soko lilipo popote pale. Naomba msaada wenu tafadhali. Natanguliza shukrani
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ninauza ufuta yoyote anaejua wanunuzi wachina au wengine wowote wanaotoa bei nzuri anijulishe maramoja. 0754524206
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji kununua marine board 100 pcs zilizotumika mara moja za 18mm ex China. Offer:Tshs.15,000 kwa pc. Kama unazo ni pm au piga 0769776598
0 Reactions
1 Replies
818 Views
Nahitaji lenses ya camera ya Nikon D3200 iwe mpya na iwe na uwezo wa kuvuta meter 70 had 200 bei maelewano 0753358283 nipo Mwanza Tanzania.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi na walaji wa chakula cha kutoka Baharini km Prowns, Kambakochi KingFish na Pweza. Kwa huduma bora 1: Unaletenewa hadi ulipo 2: Unatengenezewa vizuri Kwa mikoa yote Tz
0 Reactions
2 Replies
903 Views
Back
Top Bottom