1# far cry4
2# fifa 17
3# resident evil bilhazard
4# battlefild 1
5# assasians creed syndicate
6# mad max
7# WWE17
8# pes 17 with update and latest patches
9# WWE15
7# NBA 16
9# NBA 17
10#...
Habari za jioni,flat screen tajwa hapo juu inauzwa bado INA dai kabisa ina miezi minne tu geto picha safi na angavu.bei tshlaki NNE na nusu tu.tsh450,000 tu.napatikana dar mtoni...
Habari zenu, nina matikiti shambani natarajia kuyatoa wiki mbili zijazo yatakuwa tayari, nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi. Hivyo mwenye kuhitaji kuhitaji kuyanunu shambani kwa bei ya jumla...
Ninayo matikiti maji shambani natarajia kuyotoa wiki mbili zijazo. Hivyo natafuta mjeja wa jumla anicheck kwa 0657550354/0746019259 nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi.
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngn za kimaendeleo vnapatkna kwa ukubwa wa 16/16mta mfumo wa squatter
0656 698232
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapokea wanafunzi wote wa kidato cha sita wanaotaka kurudia mitihani. Masomo ya sanaa, biashara na sayansi yanafundishwa na waalimu wenye weredi wa kutosha. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala...
Amani ya Mungu iwe Nanyi
wakuu nina fedha za kizamani nauza kwa yeyote mdau wa hili tuwasiliane(pm).
Sarafu ni za pre na post Uhuru kwa maana za Malkia na Kambarage, pia msaada wa soko kwa...
Kuanzia mwez wa kumi ntakuwa na bidhaa izo hapo kwa atakayeitaj anaweza niona kwa number zifuatazo 0718040208 free delivery kwa mtu atakayechukua kuanzia kg 1000 kwa bidhaa ya nyanya na mboga...
Wakuu habar,
Nauza simu aina ya TECNO W4, simu ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote na imetumika miez 4 tu.
Nauza kwa sababu nataka nipate pesa ya kodi ya chumba ya miez mitatu.
Bei ni Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.