Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wadau? naomba kujua bei ya mayai jijini dar kwa trei sh ngapi
0 Reactions
6 Replies
6K Views
1# far cry4 2# fifa 17 3# resident evil bilhazard 4# battlefild 1 5# assasians creed syndicate 6# mad max 7# WWE17 8# pes 17 with update and latest patches 9# WWE15 7# NBA 16 9# NBA 17 10#...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenye nacho anayeuza seriously ani PM tuongee nipo Ubungo... Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
980 Views
Habari za jioni,flat screen tajwa hapo juu inauzwa bado INA dai kabisa ina miezi minne tu geto picha safi na angavu.bei tshlaki NNE na nusu tu.tsh450,000 tu.napatikana dar mtoni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Inahitajika gari aiba ya coaster iliyo kwenye hali nzuri namba D.Mwenye nayo aje PM tuyajenge. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
759 Views
Iko kwenye hali nzuri sana bei ni PM ipo Dodoma
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu, nina matikiti shambani natarajia kuyatoa wiki mbili zijazo yatakuwa tayari, nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi. Hivyo mwenye kuhitaji kuhitaji kuyanunu shambani kwa bei ya jumla...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
√12 chicken egg √automatic whatsapp/sms:0682662558 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
621 Views
Nina choroko kilo 800 za blue nene nauza jumla,nipo dar es salaam Temeke. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
504 Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa ipo iringa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
700 Views
Ninayo matikiti maji shambani natarajia kuyotoa wiki mbili zijazo. Hivyo natafuta mjeja wa jumla anicheck kwa 0657550354/0746019259 nipo dar mbagala zakhem ndo ninapoishi.
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngn za kimaendeleo vnapatkna kwa ukubwa wa 16/16mta mfumo wa squatter 0656 698232 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Anayetaka Tangawizi mbichi tafadhali wasiliana na Mimi ninauza kwa bei nzuri wasiliana na Mimi kwa namba 0716 766 263 ninaanza kuuza 100kg Karibuni
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunapokea wanafunzi wote wa kidato cha sita wanaotaka kurudia mitihani. Masomo ya sanaa, biashara na sayansi yanafundishwa na waalimu wenye weredi wa kutosha. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Nahitaji trekta la kukodi kwa mwezi. Nipo Iringa na trekta nitalitumia Iringa. Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Amani ya Mungu iwe Nanyi wakuu nina fedha za kizamani nauza kwa yeyote mdau wa hili tuwasiliane(pm). Sarafu ni za pre na post Uhuru kwa maana za Malkia na Kambarage, pia msaada wa soko kwa...
0 Reactions
3 Replies
732 Views
Kuanzia mwez wa kumi ntakuwa na bidhaa izo hapo kwa atakayeitaj anaweza niona kwa number zifuatazo 0718040208 free delivery kwa mtu atakayechukua kuanzia kg 1000 kwa bidhaa ya nyanya na mboga...
0 Reactions
1 Replies
682 Views
Tecno C8 ipo sokoni, bei 150,000.Napatikana Kongowe-Kibaha.. Njoo PM tuyajenge.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habar, Nauza simu aina ya TECNO W4, simu ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote na imetumika miez 4 tu. Nauza kwa sababu nataka nipate pesa ya kodi ya chumba ya miez mitatu. Bei ni Tsh...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Back
Top Bottom