Jamani natafuta soko la kuuza karanga
Msaada wanaojua bei nzuri ya Karanga kwa soko la sasa ni shingapi? na Msaada mwingine kunifanyia connection na Diamond Karanga nimuuzie hizi guniaa
Gari ipo Japan na inachukua siku 30 kufika pindi unapo agizia na hiyo gharma ni GHARAMA KAMILI PAKA GARI LINAKUFIKIA MKONONI IKIWA NA KILA KITU KASORO BIMA na pia hamna gharama zozote zitakazo...
Akai Company Limited, we provide affordable clearing and forwarding services. Contact us 0766734429
or visit us at ushirika tower 11th floor
Sent from my SM-A7100 using JamiiForums mobile app
Habarini..
naomba mwenye uelewa na hii biashara anipe mwanga...
natarajia kuanza biashara ya kuchukua vitu vidogovidogo Dubai na kuleta nchini..
je,
-Gharama ya usafiri ipoje?(mtu binafsi)...
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA NA (NYARAKA MBALIMBALI)
-BUSINESS PLAN (mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00
-COMPANY...
bei ni million 20 zipo eka 10
Linauzwa pamoja na Ardhi
Miti iliyopandwa ni aina ya pine
Na INA umri Wa miaka 7
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929,0655726929 na 0742188846
Napatikana...
Nauza godown Lipo katika hali nzuri sana
Lina fence na ukuta mrefu kwa ulinzi wa mali zako.Lipo Dar es salaam ,sinza umbali wa 500m kutoka shekilango road
Maji na umeme vipo
700sqm jumla ya eneo...
Je uko katika kundi mojawapo katika haya?
1. Umemaliza chuo na hauna ajira!?
2. Unayo ajira lakini bado kuna mahitaji unashindwa kuyatimiza kwa sababu ya mshahara kuwa mdogo vivo unahitaji kipato...
Aina ya simu IPhone 4
Internal memory 8GB
Used from UK
Bei Yake ni ya kumudu mtu wa kipato cha chini ivyo ni laki 2 tu
200k only Mawasiliano whatapp me 0659254488 wai sasa zimebaki piece...
Salaam wanaJF.
Naombeni mwenye uzoefu na lodge za bei chee Dsm hasa Ubungo karibu na terminal, Buguruni au Sinza ambazo ni chini ya TZS 25,000 per day anisaidie.
Iwe na AC, maji ya moto, usalama...
TAASISI YA PEACE ADVOCATES FOR AGREEABLE ENVIROMENTAL SOCIETY TANZANIA
Inawatangazia wananchi fursa ya mashamba ya kilimo biashara yanayoendeshwa kwa kilimo biashara na ufugaji wa kuku wa asili...
HIFADHI MAZAO BILA KUTIA DAWA
Kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji, tumia mifuko ya kisasa (helmetic) kuhifadhi mazao yako. Mifuko inaitwa PICS Na AgroZ.
Ukubwa: kilo 100
Bei: 4000
Tutakutumia...
HIFADHI MAZAO BILA KUTIA DAWA
Kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji, tumia mifuko ya kisasa (helmetic) kuhifadhi mazao yako. Mifuko inaitwa PICS Na AgroZ.
Ukubwa: kilo 100
Bei: 4000
Tutakutumia...
JITANGAZE MTANDAONI.... GO ONLINE
Would you like to have a website and App for personal or business use? No monthly payments.
Karibu tukutengenezee website na app kwa ajili ya biashara yako. Ni...
Wakuu habari za muda huu,
Tangazo hapo juu linajieleza. Viwanja vimebaki vitano. Viko Mkoa wa Dodoma maeneo ya Miyuji karibu na hospital ya St. Gema. Size ya kiwanja ni 30mx40m bei ni 5m. Umeme...
Msaada waungwana nilinunua simu siku ya tano tu na nimeibiwa ada ya chuo kwenye mwendokasi nauza simu yangu yenye siku sita mkononi kila kitu kipo bado mpya hata karatasi zake za pembeni zipo ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.