Kuwa mmoja wa wanufaika wa uber leo.

Kuwa mmoja wa wanufaika wa uber leo.

lihagule

Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
21
Reaction score
8
Zawadi Nono na ofa za kutosha Kwa madereva na watumiaji , ingia leo upate ofa yako. Sasa dereva wa uber Una weza para tsh 450000 pale tu utakapo munganisha dereva mwezako.kwa maelekezo zaidi unaweza nitaarifu Kwa namba 0682059217.
 
Nyoosha maelezo chief....

Ebu soma huu uzi wako afu niambie umeelewa nini labda na mm ntaelewa.
 
Yaani wewe ukijiunga kama dereva wa uber utapata nafasi ya kumuunganisha dereva mwenzako na hapo wewe utapatata tsh 450,000 pale tu ulie munganisha atafikisha Safari (ride)50. Pia hamna mashart makubwa cha msingi uwe na gari dogo lenye kiyoyozi na uwe na lesen za udereva hapo utakuwa umekamilika.
 
Yaani wewe ukijiunga kama dereva wa uber utapata nafasi ya kumuunganisha dereva mwenzako na hapo wewe utapatata tsh 450,000 pale tu ulie munganisha atafikisha Safari (ride)50. Pia hamna mashart makubwa cha msingi uwe na gari dogo lenye kiyoyozi na uwe na lesen za udereva hapo utakuwa umekamilika.
Ok nmeelewa asante,
Vipi kuhusu usalama....ikitokea nmetekwa na gari yangu ikaibwa uber itahusika ktk kutatua hilo tatizo!?
 
Nyoosha maelezo chief....

Ebu soma huu uzi wako afu niambie umeelewa nini labda na mm ntaelewa.

Halafu usikute huyo ndiyo anaaminika kweli huko Kazini Kwao lakini utiririkaji na usererekaji wake kimaelezo ni Sifuri.
 
Halafu usikute huyo ndiyo anaaminika kweli huko Kazini Kwao lakini utiririkaji na usererekaji wake kimaelezo ni Sifuri.
Tatizo hili,
Hajui matangazo ya biashara hayatakiw kumfanya msomaji atumie nguvu nyingi kuelewa,

Nmesoma mara mbili mbili nilikua sijui anamlengo gani....teh teh teh
 
Ok nmeelewa asante,
Vipi kuhusu usalama....ikitokea nmetekwa na gari yangu ikaibwa uber itahusika ktk kutatua hilo tatizo!?
Usalama wako uber ndio wana husika na wanaotumia network kuchunguza kila dereva anako enda na usalama wake .Hamna wasiwasi na Kuwa na imani Kabisa.asante Kwa kunielewa kujiunga nasi unaweza nicheki Kwa 0682059217 .Na nitakuelekeza namna ya kujiunga.
 
Tatizo hili,
Hajui matangazo ya biashara hayatakiw kumfanya msomaji atumie nguvu nyingi kuelewa,

Nmesoma mara mbili mbili nilikua sijui anamlengo gani....teh teh teh
Pole Kwa kutumia nguvu nyingi Mr .Na karibu uber transport system.
 
Usalama wako uber ndio wana husika na wanaotumia network kuchunguza kila dereva anako enda na usalama wake .Hamna wasiwasi na Kuwa na imani Kabisa.asante Kwa kunielewa kujiunga nasi unaweza nicheki Kwa 0682059217 .Na nitakuelekeza namna ya kujiunga.

Mbona pamoja na kurudia kutoa ufafanuzi na kuweka namba yako ya Simu juu bado tu hujaeleweka Mkuu? Hivi upo kweli Uber Wewe au tukupime Kwanza mkojo?
 
Halafu usikute huyo ndiyo anaaminika kweli huko Kazini Kwao lakini utiririkaji na usererekaji wake kimaelezo ni Sifuri.
Asante and sory kama nimekukwaza. Mimi nadokeza uwepo wa hilo Jambo nikiwa miongoni mwa uber amberssador. Ila ndivyo ilivyo tafsili hutofautiana (defferent perception) karibun Sana.
 
Mbona pamoja na kurudia kutoa ufafanuzi na kuweka namba yako ya Simu juu bado tu hujaeleweka Mkuu? Hivi upo kweli Uber Wewe au tukupime Kwanza mkojo?
Mkuu , kweli hujanielewa au unatafuta ushindi ,Kuwa na amani na Kuwa tayari kuelewa basi bila hivyo utatafuta kwenye dosari tuu na siyo kwenye matiki ya Jambo .Ila asante Kwa changamoto.
 
Asante and sory kama nimekukwaza. Mimi nadokeza uwepo wa hilo Jambo nikiwa miongoni mwa uber amberssador. Ila ndivyo ilivyo tafsili hutofautiana (defferent perception) karibun Sana.

Mkuu si bora uuchune tu kwani unazidi kuanika mapungufu yako yaliyotukuka Kwetu halafu utatufanya sasa hata hiyo Uber yenyewe tusipande tena. Sasa kama Wewe ni Uber Brand Ambassador mbona ' unakengeuka ' sana? Hivi katika Kiswahili kuna neno kama lako la tafsili au kuna neno tafsiri? Halafu ni nani aliyekudanganya kwamba Kiingereza cha tafsili hutofautiana ni different perception?

Uongozi wa Uber popote mlipo hapa hamna ' Balozi ' bali mna ' Mlozi ' tu.
 
Back
Top Bottom